Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Mchawi akwama hapa Ilula Iringa

Ipo kuna story niliwahi simuliwa kuna mzungu alisafiri tz hadi London kwa usafiri huu...direct hadi nyumbani kwake akakuta wote wapo mezani wanapata dinner wakabaki wameduwaa
 
Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.
Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.
Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.
WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
Mwezi mmoja tutasikia unaanzisha kanisa, acha maigizo.
 
Mbona ana nguo zake huyo, na tumeaminishwa kuwa huwaga hawavai nguo wakienda kwenye hizo show zao
 
Kuna Mwanamke amenaswa juu ya paa la nyumba huko Iringa Wilaya ya Kilolo Mji mdogo wa Ilula.

Kama ambavyo inaonekana katika picha akipewa msaada na wasamaria wema baada ya mitambo yake kuzima akijaribu kuruka hewani baada ya Rada ya kuongozea usafiri wao kuleta hitilafu.

Hali iliyosababisha achelewe mpaka kupambazuke ambapo chombo hicho kilishindwa maana kukipambazuka chombo chao kinakosa Mwelekeo.

WACHAWI MSIRUDIE TENA KUPITA KWENYE ANGA ZANGU ....SIO KILA MAHALA MNAJIPITIA TUView attachment 1184346View attachment 1184347View attachment 1184348View attachment 1184349
Usanii TU ili igeuzwe fursa
 
Itakuwa kuna mjinga alichomoa betri kwenye chombo chake
 
Mwambie siku nyingine apae na ungo aende mambele.
 
Yaani kwa staili hiyo aliyolala ningempandia hapohapo juu ili nioshe rungu kabla watu hawajafika
Huyo dada kajaa vizur sana,ningekua mimi ningeenda kumuogesha fresh,nampiga lotion ya hatari,nampa supu ya nguvu na K vant ndogo arestart ubongo then najifungia nae ndani siku tatu tunakula maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom