A
Anonymous
Guest
sisi watumishi wa Hospital ya mji kondoa tuna lazimishwa kuchangia mchango wa mwenge shilingi 5,000/= kwa kila mtumishi kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Mji Kondoa.
Mfano, Tarehe 07/05/2026 tumepewa posho za masaa ya ziada ila wametukata kwa lazima mchango wa mwenge tulipo uliza tumejibiwa ni maelekozo kutoka kwa Mganga mfawidhi na kama hautaki kukatwa basi uache kazi.
Tunaonekana kama ni wapinga kristo kwenye mamlaka hali hii huwa ni kila mwaka inapofika kipindi cha mwenge. Mwaka jana ilikuwa 3,000/=, mwaka huu ni 5,000/=.
Soma Pia: Mtendaji wa kata kunichangisha mchango wa mwenge kwa lazima imekaaje hii?
Inatuumiza sana, naomba mtusaidie kupaza sauti kwa mamlaka zinazohusika
Mfano, Tarehe 07/05/2026 tumepewa posho za masaa ya ziada ila wametukata kwa lazima mchango wa mwenge tulipo uliza tumejibiwa ni maelekozo kutoka kwa Mganga mfawidhi na kama hautaki kukatwa basi uache kazi.
Tunaonekana kama ni wapinga kristo kwenye mamlaka hali hii huwa ni kila mwaka inapofika kipindi cha mwenge. Mwaka jana ilikuwa 3,000/=, mwaka huu ni 5,000/=.
Soma Pia: Mtendaji wa kata kunichangisha mchango wa mwenge kwa lazima imekaaje hii?
Inatuumiza sana, naomba mtusaidie kupaza sauti kwa mamlaka zinazohusika