KERO Mchango wa Lazima wa Mwenge ni kero

KERO Mchango wa Lazima wa Mwenge ni kero

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Labda wewe ni gen z michango ya mwenge haijawahi kuwa hiari wala lazima toka mm mdogo. Nakumbuka nikiwa mdogo sana wazazi wetu walikuwa wanakimbizwa na mgambo mashambani wakitakiwa kuchangia sh. 10 au 100 kama kumbukumbi zangu zipo sawa. Miala ya 1989 hivi. Baadae ikaondolewa michango hii kwa sasa tunachanga watumishi, wafanya biashara. Na ni hiari sio lazima, lakini ni lazima
 
Mimi siwezi kuchangia hata jero ya mwenge wala shughuli za mwenge siwezi kuhudhuria!
 
Back
Top Bottom