kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,185
- 24,565
Hii barabara haikamiliki hata kidogo, kibaya zaidi wanajenga na kuchimba mashimo makubwa
Kibaya zaidi baadhi ya vijipande wameminya njia na rest zinatengenezwa kama Garden na kuwekwa peving?
In fact barabara mwenge Tegeta mwenge hadi mawasiliano (Sam Nujoma) ni chaka la upigaji kinachofanyika pale ni ufujaji wa fedha za umma
Huo mradi unaingia mwaka wa tatu sasa bila matumaini ya kukamilika, kwa ujengaji ule foleni haitaisha kamwe, jamaa wameminya na kupunja njia sana huku maeneo ya katikati na pembeni wanaweka peving na garden kwa kujaza udongo mfano nzuri angalia kipande cha Mwenge lugalo walivyokiharibu, Angalia kipande cha Sam Nujoma walivyokiharibu.
In fact huu mradi unasuasua kiasi hadi Tanroad na wizara ya ujenzi wameukatia tamaa na kumwaacha mkandarasi afanye atakavyo
Kibaya zaidi baadhi ya vijipande wameminya njia na rest zinatengenezwa kama Garden na kuwekwa peving?
In fact barabara mwenge Tegeta mwenge hadi mawasiliano (Sam Nujoma) ni chaka la upigaji kinachofanyika pale ni ufujaji wa fedha za umma
Huo mradi unaingia mwaka wa tatu sasa bila matumaini ya kukamilika, kwa ujengaji ule foleni haitaisha kamwe, jamaa wameminya na kupunja njia sana huku maeneo ya katikati na pembeni wanaweka peving na garden kwa kujaza udongo mfano nzuri angalia kipande cha Mwenge lugalo walivyokiharibu, Angalia kipande cha Sam Nujoma walivyokiharibu.
In fact huu mradi unasuasua kiasi hadi Tanroad na wizara ya ujenzi wameukatia tamaa na kumwaacha mkandarasi afanye atakavyo