Sasa hii niliyokuwekea si motto bali ni "Maana" na si "Kauli mbiu".kwanza hujaonesha kivipi kila mtu ana dini
maana ya motto ni hii "a short sentence or phrase chosen as encapsulating the beliefs or ideals of an individual, family, or institution."
Hilo la kuonyesha ni namna gani watu wana Dini nimeshaonyesha tayari.