Nimeiona,twenda kwenye hoja sasa.Icheki na hii kutoka kwenye kamusi kuu ya kiswahili
View attachment 1592535
Nimeiona,twenda kwenye hoja sasa.Icheki na hii kutoka kwenye kamusi kuu ya kiswahili
View attachment 1592535
Ulivyokuwa kipofu wa macho na akili hujaona hata hii maana ni ua Kiarabu pia ila imetarujumiwa katika Kiswahili.Sasa hii ndio maana halisi ya dini na sio ile yakihuni kutoka uarabuni uliyoiweka awali
Dini ni muongozo na watu wanatenda kufata muongozo.Unawezaje kutenganisha dini na watu wa dini? Kuna dini isiyo na watu?
This nigga is preachingMchango wa Dini ni kubomoa mila na desturi zetu za asili. Dini ni utumwa uliokubuhu! Karl Marx njoo tuokoe na huu utumwa.



Vita nyingi zimesababishwa na dini na Hao washika dini kuanzia jihad mpaka ww2Kama si dini hii dunia pangekuwa ni uwanja wa vita
Niambie nani hana Dini hapa ulimwenguni ? Yaani Duniani ?Vita nyingi zimesababishwa na dini na Hao washika dini kuanzia jihad mpaka ww2
Sina dini mimiNiambie nani hana Dini hapa ulimwenguni ? Yaani Duniani ?
Lakini, je hakuna haja ya kuangalia sababu ya vita hivyo ? Je watu wanapigana tu bila sababu ? Je kila vita ni kwa ajili ya uharibifu au kutengeneza ?
Au unaifikiriaje vita ? Ndiyo maana Wakana Mungu huwa wana hoja dhaifu sana sababu wanaangalia mambo juu juu.
Nimecheka sana. Thibitisha hili.Sina dini mimi
Sasa iweje Mola ni mmoja halafu Dini ziwe nyingi ? Ujue hapo lazima Dini moja ni sahihi na hizo nyingine na fikra za watu kama vile Ubudha, Uhindu, Upagani (Naturalism) , na mfano wao.
zile zilikua ni arabic motto ambazo ziko applied uarabuni tu. hapa nilikua nazungumzia universal definition ya dini in general na hiki ulichokijibu hapo juu ndio sahihiUlivyokuwa kipofu wa macho na akili hujaona hata hii maana ni ua Kiarabu pia ila imetarujumiwa katika Kiswahili.
Twende kwenye hoja yako sasa.
kwani kuna ulazima wowote watu kuamini katika dhana hizo mbili ili maisha yaende?Nimecheka sana. Thibitisha hili.
Unaamini nini kuhusu maisha na chanzo cha ulimwengu ?
mbona wengi tu hatuna dini na maisha yanaendelea?Niambie nani hana Dini hapa ulimwenguni ? Yaani Duniani ?
Lakini, je hakuna haja ya kuangalia sababu ya vita hivyo ? Je watu wanapigana tu bila sababu ? Je kila vita ni kwa ajili ya uharibifu au kutengeneza ?
Au unaifikiriaje vita ? Ndiyo maana Wakana Mungu huwa wana hoja dhaifu sana sababu wanaangalia mambo juu juu.
Dini iliyo sahihi kuijua ni rahisi sana, kwanza haipingani na uhalisia.Utaijuaje dini iliyo sahihi? Na imesaidiaje watu wa dini hiyo ukilinganisha na hizo dini nyingine?
Hakuna anaye ishi nje ya hiyo misingi, na ndiyo maana ukiangalia hiyo maana niliyo kupa ina "mkato" kila tamko linalo rejewa kwalo.zile zilikua ni arabic motto ambazo ziko applied uarabuni tu. hapa nilikua nazungumzia universal definition ya dini in general na hiki ulichokijibu hapo juu ndio sahihi
sasa point yangu ni kwamba watu wote wanaoishi nje ya hiyo misingi utawaitaje?
Naona umekuja na mtindo wa kukimbia maswali kwa wazi sana kuliko huko nyuma, nyuma ulikuwa unakimbia maswali kwa kujificha.kwani kuna ulazima wowote watu kuamini katika dhana hizo mbili ili maisha yaende?
maisha yanawezekana mbona bila kuwa na imani juu ya hizo habari, point yako iko wapi hapo?
Hili si kweli kwa maana ya ujumla ya dini. Sababu hata wakana Mungu ukiambia ukanaji Mungu ni imani na dhana kukataa uwepo wa mungu huwa wanakataa, lakini kiuhalisia hata hiyo ni dini kwa maana nyingine zote za dini. Sababu kuabudu si tu kumuabudu Mungu bali wapo wanao abudu akiki zo wapo wanao abudu mali zao.mbona wengi tu hatuna dini na maisha yanaendelea?
kwanza hujaonesha kivipi kila mtu ana diniHakuna anaye ishi nje ya hiyo misingi, na ndiyo maana ukiangalia hiyo maana niliyo kupa ina "mkato" kila tamko linalo rejewa kwalo.
Kisha nikakupa maana ya Wana jamii, sasa usilazimishe jambo liwe kinyume na uhalisia, sababu maana ya kwanza niliyo itoa na hizi zilizo fata hazina tofauti.
Naona unazidi kukosea nini maana ya "Motto" na ile maana niliyo itoa inaingia vipi katika hili ?