Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Serikali,rwakatale na huyo mwenye viwanja wote mbuluraz,issue kama hiyo ni kukaa mezani tu!! Kama Mama mchungaji kavamia kiwanja serikali ingekaa kati kufanya win win situation kutafuta mtu wa kati ananue eneo mama mchungaji apate gharama alizotumia na aliedhulumiwa apate gharama ya kiwanja serikali ipate tozo ya kodi ya manunuzi....
 
Kwani wewe unataka kufanyaje. Msukule wee

Misukule ni watu wasiowatakia mema wananchi Wa nchi hii,hawa hujidhihirisha wazi katika ushabiki wao kwa ccm,ni watu wasiojitambua,wenye akili kama zombies,mmoja Wa watu hao ni wewe,tafadhali utakuwa rafiki yangu kama tu utajitambua,badilika.
 
ndo alivyokwambia????

Heaven, I can guess unasali kwa huyo mama! kama hivyo, una tatizo gani nikushauri maana wanaokwenda kwake ( and the like) wanakuwa na matatizo yanawasonga na hivyo kutafuta faraja (of course wanadanganywa) lakini spiritual healing inapatinaka.
 
Kama mchunga kondoo anafanya dhulma sijui hao kondoo watakua katika hali gani
Kondoo wanachungwa ili watumike kwa faida (waliwe, wauzwe, wakatwe sufi n.k).
Wachungaji hawafanyi kazi za hasara!
 
Huyu mama kweli bandidu, yaani anamtapeli kwa mabavu hata mjane? na yeye anajinasibu ni mchungaji. Sasa tofauti yake na Alex Massawe na Papaa Msoffe ni ipi?
 
huyo mama mchungaji kama hajaongea hadharani kukanusha hili suala wananchi tutaamini ni kweli alitaka kumtapeli mjane viwanja vyake. namshauri akanushe kama si kweli haraka iwezekanavyo.
 
Kwani wangempa huyo mama kiwanja chake pamoja na hiyo nyumba bila kuivunja ingekuwaje..??! kulikuwa na haja gani ya kuivunja..??!
yaani hiyo ingekua mfano kwa wengine
wangemkabidhi tu mama kiwanja chake na nyumba wamwambie achukue uamuzi mwenyewe kama atabomoa ama kuzihamisha
 
Serikali,rwakatale na huyo mwenye viwanja wote mbuluraz,issue kama hiyo ni kukaa mezani tu!! Kama Mama mchungaji kavamia kiwanja serikali ingekaa kati kufanya win win situation kutafuta mtu wa kati ananue eneo mama mchungaji apate gharama alizotumia na aliedhulumiwa apate gharama ya kiwanja serikali ipate tozo ya kodi ya manunuzi....
Sasa mkuu huyu mama kama amekaidi wito wa kufika mahakamani, tena wito wa taasisi yenye mamlaka ya kisheria kumuamuru aende itawezekana kweli kumwambia basi tuelewane mezani? si ndo atajiona keshashinda. Dawa na kiburi ni jeuri.
 
Kiwanja ni kikubwa alijenga nyumba nne nadhani alitaka kupangisha zile kwa laki 5 kwa mwezi,yule mama nahisi kama ni yule alikuwa na saga ya kiwanja na papa msofe mbezi beach anaitwa janet kiwia.
 
Rungu la Sheria
limetua kwa Mch.Gertrude Rwakatare,Mchungaji Kiongozi wa 'Mlima wa
Moto'.Ni nyumba yake iliyokuwa Mbezi Beach. Alijenga katika eneo la
mjane alilolivamia. Hatimaye sheria imechukua mkondo wake. Mjane alilia
kwa furaha. Nyumba hiyo ilisajiliwa kwa jina la mtoto wa Mch.Rwakatare.
Uboboaji huo ulifanywa chini ya ulinzi mkali wa askari waliokuwa
wamesheheni silaha za moto.

Wakati wa ubomoaji,alijitokeza mtu mmoja aliyedai kuwa ni Wakili wa
mwenye nyumba akiwa na nyaraka za kimahakama zinazodaiwa kuweka zuio la
kubobolewa kwa nyumba hiyo.Hatahivyo,alipuuzwa na ubomoaji kuendelea
kama ulivyopangwa. Kweli sheria ni msumeno!

Chanzo: ITV
Tukitoka hapa tunahamia kwenye ile aliojenga kwenye Mkondo wa Bahari.
 
Daaah.......hizo nyumba zisingebomolewa bali angemilikishwa huyo mama mjane.Ndo angekomeshwa vizur huyo mama rwakatale
 
Back
Top Bottom