Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Attachments

  • 1407478485688.jpg
    1407478485688.jpg
    39.7 KB · Views: 317
Hapa jina mjane linatumika kuonyesha ukubwa wa dhuluma. Yawezekana huyu mjane mtu ana uwezo mkubwa tu.
Well...habari haijakamilika....huyu alipataje hicho kiwanja? Alivamia tu? Aliuziwa? Au naye alitapeliwa?
 
Inafika wakati sisi wateule wa kristo kuwachoma moto hawa wanajiita manabii nk. Nasema imefika wakati,


The King.
 
Huyu mama kathulumu watu wengi na bado. Wengine tutachukua sheria mkononi.hakuna haja kusubiri Jamuhuri. Wanachukua muda.


The King.
 
Serikali,rwakatale na huyo mwenye viwanja wote mbuluraz,issue kama hiyo ni kukaa mezani tu!! Kama Mama mchungaji kavamia kiwanja serikali ingekaa kati kufanya win win situation kutafuta mtu wa kati ananue eneo mama mchungaji apate gharama alizotumia na aliedhulumiwa apate gharama ya kiwanja serikali ipate tozo ya kodi ya manunuzi....

We ndio mbururula wa kwanza Tanganyika. Je kama hataki kuuza. Mali ni yake huyu mama mjane. Hakuna anayeweza kusemama lolote hata jamuhuri.


The King.
 
Hapa jina mjane linatumika kuonyesha ukubwa wa dhuluma. Yawezekana huyu mjane mtu ana uwezo mkubwa tu.
Well...habari haijakamilika....huyu alipataje hicho kiwanja? Alivamia tu? Aliuziwa? Au naye alitapeliwa?

Ni kweli kwani angekuwa mjane mjane tunaowajua hii isingetokea kwani inaonekana yeye ni Janet Kiwia's business profile as Chief Executive Officer at World Jet Travel Inc ambayo pia ina tawi Marekani. Hivyo huyu mama Rwaka (kama kweli ni yeye) alipima maji vibaya hapa.
 
Nilitaka kuzimia nikafikiri ni ile anayoishi ya bilion 2 ila kikweli bin haki tuache unafiki ikiletwa hapa ile ramani ya ukweli ya mwisho wa ujenzi kwa waliopembezoni mwa bahari ya hindi kuanzia allysyks sijui mzee wetu nyerere na wengine woote nyumba zao zipo kimakosa kwenye hifadhi ya bahari bila kubagua.

Elewa wewe yeye yupo kando ya mto.
 
Kabla hujaamua kushangaa, ni vyema ukaelewa kwanza.

Madawa ya kulevya hayaongezi uchumi kwa sababu, japo wanajenga majumba, lakini athari za madawa ni kuua taifa. Kwamba wanaua afya za mili na akili kwa nguvu kazi na hiyvo kuathiri uzalishaji ambacho ndicho kiini cha maendeleo ya uchumi wa taifa. Na nyumba kama hazitumiki productively, si kitu kinachokuza uchumi wa taifa.

Pili usichanganye hoja. Hapa hatujadili chanzo cha mapato kwamba kavunjiwa nyumba kwa sababu amepata fedha kwa vyanzo haramu, kiasi cha kulinganisha na wanaojenga kwa mapato ya madawa ya kulevya.

Tatu, hao wahalifu wa madawa ya kulevya, hatuwezi kuwakomesha kwa kuwavunjia nyumba kama unavyoonekana kuelewa. KIla kosa liwe addressed kama lilivyo na ndivyvo sheria ilivyo.

Kosa la kumdhurum mjane, linasemwa leo, lakini siku za nyuma kulikuwa na taarifa amejenga katika eneo lisiloruhusiwa na hivyo kaharibu mazingira. ( Huyo mjane ndiye angerehusiwa kujenga asiharibu mazingira ama anamiliki eneo lile kwa matumizi gani? Mimi na wewe hatuna jibu kwa sasa). Ninachohitaji kionekane ni namna gani kunaweza kuwa na namna ya utafutwaji mtu hapa.

HOJA KUU, SIONGELEI UHALALI WA UMILIKI WA ENEO LILE. KILICHONISHANGAZA, NI KUONA WATU WANAVUNJA SHERIA NA SISI TUNASHANGILIA KWAMBA HAKI IMETENDEKA. HIYO HAKI KAIAMUA NANI?

NI DHAHIRI KWAMBA KULIKUWA NA MAAMUZI YA KISHERIA YALIYOASISI UVUNJWAJI WA NYUMBA ZILE. KINACHONIPA SHIDA NI ILE KUSEMA NYUMBA ZILE ZILIENDELEA KUVUNJWA HATA BAADA YA KUWASILISHA STOP ORDER KUTOKA MAHAKAMANI.

SHERIA MSUMEMONO, TUNAYOISHANGILIA INATAKA BAADA YA HIZO STOP ORDER KUWASILISHWA, ILITAKIWA KILA KITU KISIMAME, WAENDE MAHAKAMANI KUENDELEA NA MCHAKATO WA KUPATIKANA KWA HAKI. KUENDELEA NA EXECUTION WAKATI MAHAKAMA, IMEAGIZA WASIFANYE NI UVUNJAJI WA SHERIA!. SIJUI KAMA UMEELEWA.





ndg yangu sheria ni msumemo, unataka kuniambia wale wanaotakatisha fedha za dawa za kulevya kwa kujenga mahekalu waachiwe kwa sababu wanaongeza uchumi wa taifa.? Umenishangaza kweli kweli
 
Mchungaji lwakatare moto una msubiri kwa hamu zote.
 
Suala la dini lilmetoka wapi hapa? Usihukumu kabla hujapata undani wa jambo. Hujui huyu mama hilo eneo alilipataje. Watu wangapi wanauziwa maeneo ya hata kuwa na hatimiliki baadaye wanajikuta wengi wanahatimiliki za eneohilo na eneo ni open space? Ni vyema ungetafuta kwanza kufahamu, yeye alilipatje hilo eneo.Pili, inaonekana elimu yakok ya dini imekaa kisiasa zaidi na si kiroho. Vinginevyo nakushauri utafute tafsiri sahihi ya siasa na dini halafu utaelewa namna gani zinahusiana, pengine usingesema siasa ni sehemu ya dhambi hivyo watumishi wa Mungu hawatakiwi kuhusika.Amani.
Ukimuona kiongozi Wa dini anajiingiza katika siasa jua iman yake ina Mashaka.
 
Umejuaje eneo ni la mjane wakati Mahakama ilikuwa imetoa stop order?Unawezaje kumtukana mwenzio mburura wa kwanza kwa mawazo yake ambayo hata wewe huwezi kujustify ukanushaji wako? Unaweza kuthibitisha kwamba huyo mama hataki kuuza ama kukaa mezani na kuongelea compensation? Matusi hayajengi sifa!. Kijana wa watu hata hakuonyesha tusi zaidi ya kupendekeza mawazo yake, na wewe una lipuka na matusi. Utamaduni gani huu katika mawasiliano?
We ndio mbururula wa kwanza Tanganyika. Je kama hataki kuuza. Mali ni yake huyu mama mjane. Hakuna anayeweza kusemama lolote hata jamuhuri. The King.
 
Ukisoma vizuri, unaanza kuona neno mjane linatumika kutafuta sympathy. Huyo Janeth Kiwia si mjane. Ila mmiliki halali wa eneo lile ni marehemu ambaye alikuwa shemeji yake Janeth. Ujane unatoka wapi hapa? Jamanai Watanzania......


Huyu mama kweli bandidu, yaani anamtapeli kwa mabavu hata mjane? na yeye anajinasibu ni mchungaji. Sasa tofauti yake na Alex Massawe na Papaa Msoffe ni ipi?
 
Sababu haswa ya kubomolewa .hiyo nyumba ni ipi kati ya hizi?

1. Alisema nyumba hizo, zimevunjwa kwa kuwa zimejengwa bila kibali cha ujenzi kutoka Manispaa ya Kinondoni.

2. Mama Lwakatare hana hati ya kumiliki eneo hili wala kibali cha kujenga nyumba kutoka Manispaa ya Kinondoni.

Awali ofisi ya Ardhi ilipokea malalamiko kutoka kwa mmiliki halali wa eneo hilo, Janeth Kiwia, kwamba eneo lake limevamiwa na kujengwa bila kibali Desemba 24.
 
Ukisoma vizuri, unaanza kuona neno mjane linatumika kutafuta sympathy. Huyo Janeth Kiwia si mjane. Ila mmiliki halali wa eneo lile ni marehemu ambaye alikuwa shemeji yake Janeth. Ujane unatoka wapi hapa? Jamanai Watanzania......

Mkuu ishu sio mjane, hapa swala ni je Lwakatare ni mmiliki halali wa kiwanja hicho? Naamini hata walioruhusu nyumba zibomolowe sio kwa ajili ya ujane, bali ni kukosa uhalali wa kumiliki
 
Umejuaje eneo ni la mjane wakati Mahakama ilikuwa imetoa stop order?Unawezaje kumtukana mwenzio mburura wa kwanza kwa mawazo yake ambayo hata wewe huwezi kujustify ukanushaji wako? Unaweza kuthibitisha kwamba huyo mama hataki kuuza ama kukaa mezani na kuongelea compensation? Matusi hayajengi sifa!. Kijana wa watu hata hakuonyesha tusi zaidi ya kupendekeza mawazo yake, na wewe una lipuka na matusi. Utamaduni gani huu katika mawasiliano?
Mheshimiwa wakili wa Rwakatare unajitahidi sana kumtetea mama. Hongera sana, ila ndo hivyo nyumba zishavunjwa!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom