MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Huh!! Na wale mafisadi wa Rada, EPA, Richmond, IPTL, Escrow, Wakwapuzi wa nyumba za Serikali, Mabilioni ya Uswiss etc mbona bado wanapeta uraiani!?
Hawa wanasaidia chama chetu.
Huh!! Na wale mafisadi wa Rada, EPA, Richmond, IPTL, Escrow, Wakwapuzi wa nyumba za Serikali, Mabilioni ya Uswiss etc mbona bado wanapeta uraiani!?
Mch Rwakatare alishakamatwa kwa tuhuma za wizi wa umeme ktk moja ya shule zake na aktozwa fain akailipa.
ila so haki walikuwa wapi kipindi anajenga?
Acha kufikiri kimasaburi wewe, hapo ccm imehusikaje?
Mzee Ngonyani wa Kawe ni Mojawapo wa watu walioathilika na Tabia ya Mama Rwakatare ya kuwadhulumu Masikini Viwanja kisha kuwatumia Mawakili wake kuwatisha hatimae kufanikisha kumiliki Viwanja kwa dhuluma , hiyo Laana ya Mzee Masikini wa Kawe ndio imefanya Haya yote kwani wakili wake kadunda licha ya kujaribu kila mbinu zote.Mzee ngonyani sasa anajipanga kwenda ikulu kuonana na Rais Maana amejaribu kote lakini Rushwa ikamnyima Haki zake yeye Hana pesa ni fukara Ndio Maana ametumia Laana ili kumfikishia Ujumbe
Kama mchunga kondoo anafanya dhulma sijui hao kondoo watakua katika hali gani
Rungu la Sheria limetua kwa Mch.Gertrude Rwakatare,Mchungaji Kiongozi wa 'Mlima wa Moto'.Ni nyumba yake iliyokuwa Mbezi Beach. Alijenga katika eneo la mjane alilolivamia. Hatimaye sheria imechukua mkondo wake. Mjane alilia kwa furaha. Nyumba hiyo ilisajiliwa kwa jina la mtoto wa Mch.Rwakatare. Uboboaji huo ulifanywa chini ya ulinzi mkali wa askari waliokuwa wamesheheni silaha za moto.
Una maana ya hii nyumba au nyingine?
![]()
Si alikua anatembeza rushwa mjane wawatu kaukanyaga sana tu kwenda mahakaman Hatimaye mungu mkubwa kashinda kesi......walivokua wanajenga naona walijua watashinda kesi
Safi sana..wacha wabomoe tu..nimeskia mjane anasema alienda wizarani kuangalia jina la mmiliki wa kiwanja akaona watu walishaanza kubadilisha baadhi ya document..ila huyu Mmiliki na yy anaonekana ni kifarau ujue..siyo mdogo..!!
CCM wangekuwa wanafuata sheria wangebomoa hiiUna maana ya hii nyumba au nyingine?
![]()
Acha kufikiri kimasaburi wewe, hapo ccm imehusikaje?
ila so haki walikuwa wapi kipindi anajenga?
Una maana ya hii nyumba au nyingine?
![]()