ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Kwani ule mlima wake wa moto umeshindwa kuzuia ubomoaji? ama ndo tuseme not applicable?
Sheria gani hiyo ya kuvunja nyumba wakati kuna stop order ya Mahakama? Siyo uvunjifu wa sheria huu? Na kuvunja nyumba iliyojengwa kwa gharama kubwa kiasi hicho kunaongeza tija gani katika uchumi wa taifa, mama Rwakatare ama huyo mjane?
Tuachane na ushabiki unaoashiria chuki binafsi za ki matabaka.
Hiyo stop order ya mahakama huyo mama lwakatare hakuiona? Na kwa nini aendelee kujenga wakati amezuiliwa kuendelea na ujenzi?
Well done prof.Tibaijuka,tunajua unaweza fanya zaidi ya haya na kama kawaida yako ni mtetezi wa wanyonge,endelea kutetea haki za wanyonge bbila kujali vyeo wala nafasi ya mtu.Kazi nzuri na iwe somo kwa wengine wote wanao vunja sheria,haki itendeke.
Kuna Mzee anaitwa Ngonyani 0656005556 kadhulumiwa kiwanja chake na Mch Rwakatare ni mwaka wa 800 sasa hataki kumlipa Haki yake ! Cha Ajabu ametumia Pesa Nyingi kuzuia Haki kuliko pesa ambazo angemlipa Mzee Ngonyani,wapo wajanja walijipenyeza na kula Pesa zake kisha kumpa mbinu za kufanikisha dhuluma ikiwemo kugushi mikataba na malipo feki .chezea mch Rwakatare wewe...Mbona yeye alikuwa ana mdhulumu ma Mjane na mahakama ilimstopisha ujenzi hakukoma akajiona yeye yuko.juu ya sheria na ukichangia yuko chamani alifikiri atashinda kwa kuhonga Mungu mkubwa kashindwa kesi huyu mama sijui ni mchungaji gani anauedhulumu waliovunja wamefanya vizuri mana ana roho mbaya kwa mwanamke mwenzake eti mtumishi
watafute majina ya kuyapa makanisa yao eti "mlima wa moto" mbona haukuwasha hayo magreda
Mbona hatukuelewi,andika vizuri basi