Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Mch. Rwakatare avunjiwa nyumba

Kama mchunga kondoo anafanya dhulma sijui hao kondoo watakua katika hali gani
 
duh sipati picha hao maskari najuaa wanavyotaka sifa ha ha ha

Jamaa walikuwa wanasubiri mtu alianzishe. .

Mtangazaji kauliza swali la kizushi. ..inakuweje Mch Rwakatare ambaye ni kiongozi anavunja sheria?
 
Kwa mujibu wa Eng.wa manispaa ya kinondoni kila nyumba ina thamani ya million 30.siku nyingine uwe mchunguzi ili kuitetea serikali.Serikali hii hii inadai kupitia NHC inajenga nyumba za bei nafuu na kupitia habari iliyowekwa hapa JF nyumba ya bei ya chini Ni million 40.huo ufahari unautoa wapi mkuu

Nilitaka kuzimia nikafikiri ni ile anayoishi ya bilion 2 ila kikweli bin haki tuache unafiki ikiletwa hapa ile ramani ya ukweli ya mwisho wa ujenzi kwa waliopembezoni mwa bahari ya hindi kuanzia allysyks sijui mzee wetu nyerere na wengine woote nyumba zao zipo kimakosa kwenye hifadhi ya bahari bila kubagua.
 
umesahau. Kuwa Huyu mama ni mbia was prince kwenye ile biashara ya sembe. wakati prince anaksmatwa China mama aliwahi kuchomoka na Leo yuko wanted china

Duuuu !?hiyo ni nouma.
 
Kama mchunga kondoo anafanya dhulma sijui hao kondoo watakua katika hali gani

Tulikremishwa kwamba Bunge ni chombo cha kutunga sheria. ..Sasa nimejiuliza inakuwaje mtunga sheria ambaye ni Mchunga kondoo wa Bwana amefanya alilolifanya. ..Tena kamgusa mjane.....
 
Mch Rwakatare alishakamatwa kwa tuhuma za wizi wa umeme ktk moja ya shule zake na aktozwa fain akailipa.
 
umesahau. Kuwa Huyu mama ni mbia was prince kwenye ile biashara ya sembe. wakati prince anaksmatwa China mama aliwahi kuchomoka na Leo yuko wanted china

Serious????ila mie nimefurahi alivyobomolewa maana alileta kiburi cha pesa
 
Mie nimefurahi kwani alikuwa analeta kiburi cha pesa ila too bad waumini watatoa tu sadaka hivyo atajenga tena
 
Daaa
Zimenigusa sana..
Utatamani ingekuwa ni kitu kinachohamishika
 
Mimi mbona nimesikia na kuona tofauti na nyinyi? Nilivyoelewa mimi suala siyo kujenga ufukweni bali ni kujenga ktk kiwanja cha mtu mwingine aitwaye Ngowi jina la kwanza limenitoka ambaye ni mwanamke, zile nyumba wala siyo za kifahari kihivyo kwanza bado hazijaisha kujengwa hata kidogo, hata hivyo kama aliambiwa akakaidi kaingia hasara kubwa kwani angeweza kuokoa angalau mabati ama angenipa mimi nikayatumie kwingine jamani

Uko sawa mkuu. .

Hawajavunja lile Jengo la fahari. .hapa kosa ni kuvamia kiwanja cha watu na kujenga pasipo kibali
 
Jamani anayefahamu wadhifa wa huyu mama mjane kwani huu mkasa ni sawa na sisimizi kumuangusha tembo.......haya matuko ya vigogo kudhurumu viwanja na nyumba za maskini huku kwetu mbona ni kawaida sana!
 
Back
Top Bottom