Haiwezi kufanya hayo kama atafuata nadharia yake ya uongozi ya STKGwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Haiwezi kufanya hayo kama atafuata nadharia yake ya uongozi ya STKGwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Tafuta mwingine wa kumlinganisha na Gwajima. Kama Gwajima ni jembe, basi Lisu ni Bulldozer!! Gwajima hana utii hata kwa injili anayoihubiri mwenyewe. Biblia inasema tuitii mamlaka iliyopo maana mamlaka halali (kama ya Makonda) hutoka kwa Bwana.
kwani gwajima anamiliki NGO? we ndo bichwa maji lweli
Nafikiri Makonda pia alipaswa kutumia hekima kidogo tu kuacha polisi wamalize kazi yao - siyo yeye kwa kutumia vyombo vya habari kutaka kuonyesha ukuu wake. Kamati ya usalama ina vyombo vyake vya kufanya kazi ambavyo vinawasilisha ripoti kwenye vikao. Suala la jinai haliwezi kufanywa kwa vikao vya kisiasa...Lingekuwa mahakamani ndio marufuku kuongelea lakini likiwa mikononi mwa polisi ruksa kuliongelea na kumtaka Gwajima aende.Inaonyesha hujui sheria wewe.Sasa hivi ruksa.Makonda will not shut up.
Kuna masharti na mambo ambayo NGO ikiwemo hiyo ya Gwajima inabidi iyafanye au izingatie katika utendaji wake ikikiuka yaweza futiwa usajili mkuu wa wilaya akiita sio wito mdogo.Kuhojiwa na polisi hakuondoi yeye kwenda kwa mkuu wa wilaya.Mkuu wa wilaya ana kazi zake kuhusiana na NGO na polisi wana kazi zao kuhusiana na mambo ya kazi zao.
Nafikiri Makonda pia alipaswa kutumia hekima kidogo tu kuacha polisi wamalize kazi yao
anayefuta usajili ni wizara ya mambo ya ndani
Nobody is loved or hated by anybody in this country because of religion.Gwajima is hated because of using abusive language!!! You want to twist things and declare Gwajima a saint while he is not.
Hivi makonda anauwezo wakutunishiana misuli na Gwajima.
It does not change the fact that you hate Gwajima. Your posts say it all.
Ni yapi yasiyo ya kipolisi wakati wote tuliona na kusikia akimkashifu Askofu Pengo ambayo ndiyo Makonda alisema anamwitia? Tusigeuzi hili kuwa suala la kisiasa. kama yasingekuwa ya kipolisi hasingetumia mgongo wa Kamati ya Usalama!Kwenye maswala ya gwajima kuna mambo ya kipolisi na yasiyo ya kipolisi.Ya kipolisi wanaweza sema upelelezi bado unaendele hata kwa mwaka mzima hata miwili.Wakati yale maswala yake yasiyo ya kipolisi yaweza malizwa ndani ya wiki moja.Akaitike kwa ajili ya hayo yasiyo ya kipolisi.Kwenda polisi sio kwamba kumebeba yote anayotakiwa kuyatolea maelezo au ufafanuzi.Polisi wana yao na mkuu wa wilaya ana yake.
Ni yapi yasiyo ya kipolisi wakati wote tuliona na kusikia akimkashifu Askofu Pengo ambayo ndiyo Makonda alisema anamwitia? Tusigeuzi hili kuwa suala la kisiasa. kama yasingekuwa ya kipolisi hasingetumia mgongo wa Kamati ya Usalama!
Ndugu zangu nilisikia kuwa Paul makonda anamtaka mch.Gwajima aende kwake hii wewe unaionaje? nisahihi?....
Na wewe njoo kwangu usiku nakukaribisha! Mleta uzi
Makonda yeye ni mwenyeki wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Kinondoni, pengine ana Ajenda zake lakini kubwa zaidi anajua Gwajima lazima angegoma kwenda Ofisini kwake hivyo iwe rahisi wao kupata sababu ya kumfukuza Wilaya ya Kinondoni, Gwajima uwe makini kwa hili.
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE