Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,242
Nae ni 'mwokovu' mwenzie hivo wanajuanahamjui Paul Makonda.
Nae ni 'mwokovu' mwenzie hivo wanajuanahamjui Paul Makonda.
safi sana gwajima , Who is Makonda by the way ?Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.
Chanzo: Kutoka magazetini.
ACT yenu ambayo pia mnapewa buku 3, mmeisahau sasa ivi.Huyu Makonda anapenda awe kwenye hwadlines za magazeti kila siku. Kijana mpuuzi sana huyu. Anapenda umaarufu wa ghafla ghafla.
uzi huu unahusiana nini na njaa yako ?Rais wetu ni Lowasa mengine yote ni mawimbi lakini Mafuriko hayazuiliwi kwa kiganja
Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
Ha! Ha! Haaaa!!!!! kuna vitu vimepigwa marufuku nchi hii tangu mwaka 61 lakini bado vinadunda !SORRY WAHESHIMIWA...HIVI ILE SHERIA ILIYOPITISHWA JANA YA MITANDAO INAANZA KUTUMIKA LINI???...NIJUWE KABISA ILI SIKU IKIFIKA NIJITOE KWENYE ULIMWENGU WA MITANDAO NA ELECTRONICS NIRUDI ZAMA ZA S.L.P na kulamba vijikaratasi vya posta.
nahisi muda si mrefu kwa sheria zile naweza kujikuta nafungwa miaka kumi au faini milioni 50.
Ndio maana Makonda kwa kuzingatia taratibu kuwa utaratibu wa kwanza ni kumwita mhusika ajieleze kamwita.Akikataa wanaenda utaratibu unavyotaka sehemu ya pili hadi kieleweke.
Uelewa wa Makonda ni mdogo sana anafikiri kuandikwa magazetini ni kumuuongezea umaarufu, hiki kitendo cha kugomewa hadharani kinazidi kumshushia heshima na bado itazidi kushuka pale atakapopandishwa mahakamani kwa kitendo cha aibu cha kutoa matusi.Uahauri......kwa vile polisi bado wanaendelea na uchunguzi na si ajabu pia TISS,DC Makonda angeachana nae kwani inaweza leta mtafaruku mkubwa wa kidini.Sasa hivi upo kwa nini tuengeze mwingine
Huyu hana cha Biblia wala nini si umemsikia kwenye ile video aliyotukana pengo?yeye hajali bunge,serikali wala polisi.Anaishi kwenye dunia yake ya kufikirika ambayo haiko katika dunia hii
Nae ni 'mwokovu' mwenzie hivo wanajuana
Katika post zako zote unaonesha una chuki binafsi na Gwajima.
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE