Mch. Gwajima amgomea Makonda

Mch. Gwajima amgomea Makonda

Gwajima anamtumikia Mungu ndo aliyemuita kumtumikia huyo mkuu wa wilaya ni nani mbele za Mungu? Mungu anaweza akamzisha muda wowote. Amlaaniwa amuogopae mwanadamu
 
acha kutshia watu wenye upeo mkubwa kama mchungaji gwajima!
Kweli kabisa mzee uyu anajaribu kumtisha nyau mtu mwenye mauwezo ya kutukana viongozi wengine ,na baade akaamua kuishiwa nguvu,kuzimia hatimaye kuagiza bastola na risasi za bunduki ambayo iko home!Huku akijikusanyia asipotawanya au kuvuna asipopanda!.Wakati huo huo anasahau mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa rais.Any way gudi laki asije akafa kabisa kwani uyo ni mkuu kuliko wale waliomzimisha kule sentro.

 
Kauli ikiyorudiwa juzi na Askofu Tarcisius Ngalelekumtwa wa Iringa Kuwa wakristo tupige kura ya NO katiba hii ndiyo kauli ya wakristo

Kauli ya Kadinali Pengo ni yake pekee yake na ipuuzwe na sioni kama kuna mkatoliki nikiwepo mm atakayekuwa nyuma ya Pengo aliyegeuka kibaraka wa CCM

Kadinali Pengo apuuzwe

Pengo ana akili kuliko hao wengine

Tamko la maaskofu linasema someni katiba halafu pigeni kura ya HAPANA.
Tamko la Pengo linasema Someni katiba muielewe kisha pigeni kura ile mtakayoona inafaa kwa kadri ya dhamiri yenu.

Tamko la Pengo ni la kidemokrasia kuliko lile la maaskofu wengine.Linamtaka mtu asome ,likionyesha kuwa watanzania wana uwezo wa kusoma,kuelewa na kujifanyia maamuzi yao sanduku la kura.Lakini liler la maaskofu linaloungwa mkono na akina Gwajima linawataka wasome halafu linawachukulia ni wasiojua walichosoma na linawalazimisha wapige kura za hapana!! Tamko la kiaskofu hilo sio kweli sio kweli.Haiwezekani Maaskofu wabebe sadaka za watanzania wakakae watoe tamko bovu kama hilo

UWONGO HATA SIKU MOJA HAUGEUKI KUWA UKWELI TU KWA KUWA UMESEMWA NA WATU WENGI HATA WATU HAO WAKIWA MAASKOFU .Pengo yuko peke yake na atabaki shujaa kwenye hili.

Tamko la maaskofu liko chini mno ya viwango ukilinganisha na tamko la PENGO.Niliposoma sikuamini macho yangu kuwa maaskofu ambao naamini wengi ni wasomi waweza toa tamko bovu kama lile na ambalo haliruhusu demokrasia kufanya kazi.Kama ni kweli bado wamesghupalia lile tamko basi nchi haina maaskofu yuko Pengo tu.

Maaskofu wakae tena tamko walilotoa bovu tena bovu mno kusema la maaskofu ni aibu tena aibu kubwa inayoshusha hadhi zao.Masakofu waliotoa hilo tamko nashauri watafutwe maaskofu wengine badala yao.
 
Ulipewa ukuu wa wilaya kwa kumfunga viatu mtoto wa rais, au nitupie picha yako ukimfunga viatu
 
Wewe East Afrika umechomolewa unatakiwa urudishwe,, Mungu ni zaidi ya mkuu wa wilaya na wewe unaemuita mtumishi wa Mungu msukule,, mimi nasema usipojirekebisha Mungu akushughulikie mwenyewe
 
Gwajima anamtumikia Mungu ndo aliyemuita kumtumikia huyo mkuu wa wilaya ni nani mbele za Mungu? Mungu anaweza akamzisha muda wowote. Amlaaniwa amuogopae mwanadamu

Ile presha aliyopata ilitoka wapi kama siyo hofu kwa wanadamu waitwao polisi
 
Rais ni nani mbele za Mungu,, amelaaniwa amuogopae mwanadamu, Mungu ndo anaeheshimiwa mkuu wa wilaya ni mtu ambae ameumbwa na Mungu aliyemuweka Gwajima kutumika
 
Wewe East Afrika umechomolewa unatakiwa urudishwe,, Mungu ni zaidi ya mkuu wa wilaya na wewe unaemuita mtumishi wa Mungu msukule,, mimi nasema usipojirekebisha Mungu akushughulikie mwenyewe

Huyo mungu anayemfundisha matusi gwajima kuporomoshea watu matusi ni mungu au kinyago? Mwambieni huyo mungu wa Gwajima aache matusi kazidi looo!!!Na huyo mtumishi wake anayemtuma kutukana watu amwambie akome.
 
Umeambiwa kuhusu ugonjwa wake waulize polisi na daktari wake, ukimtumikia Mungu huwezi kuugua maana Yesu alipigwa ili tupone. So ingekuwa presha angekuwa kwenye wheelchair mpk leo? Jiulize tuuu km akili zako ziko sawa utagundua kitu
 
bado mgeni wa kazi huyo

But why now na haraka hivyo kwa Ngwajima. Mbona walokuwa wanasambaza kanda za kuupinga ukiristu hatua hazikuchukuliwa haraka namna hii!! Kuna kitu hakijakaa sawa Magogoni. Anyway, acha tuone kinachotengenezwa.
 
Wewe East Afrika nadhani wewe pepo, sasa nakutangazia kukufyeka kwa upanga wa neno la Mungu ukatao kuwili na kukusaga kwa jiwe livunjalo mawe vipandevipande kwa Jina La Yesu
 
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake...

Yote haya sawa lakini hili la kumuita Mch. Gwajima ni kujitafutia sifa za kijinga tu. Mtu keshahojiwa na police sasa Mkuu wa Wilaya anataka amuulize nini tena?? Nadhani akitoka kwa Mkuu wa Wilaya sasa itabidi aitwe na kwa Mbunge pia ahojiwe kama ndo utaratibu mopya ulioanza
 
Kirahisi ni kwamba mkuu wa wilaya hajaridhika na mahojiano yaliyofanyika kati ya askofu Dkt Gwajima na polisi. Kwa maana hiyo polisI hawafanyi kazi vizurI kama atakavyofanya yeye.
 
Wewe East Afrika nadhani wewe pepo, sasa nakutangazia kukufyeka kwa upanga wa neno la Mungu ukatao kuwili na kukusaga kwa jiwe livunjalo mawe vipandevipande kwa Jina La Yesu

Unaonaje ukifyeka ulimi wa Gwajima ili usiendelee kuporomosha matusi na ufyeke kile kiungo chake cha katikati ya mapaja kinachosumbua hadi anapora akina flora mbasha
 
Umeambiwa kuhusu ugonjwa wake waulize polisi na daktari wake, ukimtumikia Mungu huwezi kuugua maana Yesu alipigwa ili tupone. So ingekuwa presha angekuwa kwenye wheelchair mpk leo? Jiulize tuuu km akili zako ziko sawa utagundua kitu

Muongo GWAJIMA NI MWATHIRIKA WA UKIMWI mtizame hata usoni kajaa ile mipele
 
Mambo mengine usemwa tu na wanasiasa ili kupoteza lengo fulani na kuwasahaulisha watu masuala ya msingi.
Sawa kwa nafasi ya mkuu wa wilaya kumuita kwa maojiano,lakini isiwe ni yeye personally.
 
Back
Top Bottom