Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,143
- 375
Hiyo ndio shida ya ccm na vibaraka wake. Wanaona viongozi ni miungu watu wanasahau katiba ya nchi. Police wanafanya kazi chini ya Makonda. Kama huyo pimbi anataka maelezo yoyote awaulize wasaidizi wake na sio kutishia wananchi. Akijifanya mjuaji watakutana mahakamani.