minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,313
- 22,320
Hivi kunakuwaga na maombi ya kisasi?!makonda huyu afundishwe misingi ya uongozi(rule of law) yeye sio polisi wala mahakama
Makonda yeye ni mwenyeki wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Kinondoni, pengine ana Ajenda zake lakini kubwa zaidi anajua Gwajima lazima angegoma kwenda Ofisini kwake hivyo iwe rahisi wao kupata sababu ya kumfukuza Wilaya ya Kinondoni, Gwajima uwe makini kwa hili.