Mch. Gwajima amgomea Makonda

Mch. Gwajima amgomea Makonda

EastAfrican Eagle naamuru maalaika warudishe itakavyo stahili malipo ya kejeli na maneno ya uongo uyatoayo sasa hivi KWA JINA LA YESU.
 
Kirahisi ni kwamba mkuu wa wilaya hajaridhika na mahojiano yaliyofanyika kati ya askofu Dkt Gwajima na polisi. Kwa maana hiyo polisI hawafanyi kazi vizurI kama atakavyofanya yeye.

Analianzisha lingine.....naoana DC anakaribisha vurugu na makanisa.....maaskofu wote wataungana na watatoa tamko.Huyu DC anataka mpa Mh.Rais wakati mgumu wa kutatua mambo ya dini.
 
Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.

Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.

Chanzo: Kutoka magazetini.

Nimejaribu kufuatilia matatizo ya mashariki ya kati nilichogundua ni kwamba vita ya waislam kwa waislam ni kubwa mno kuliko uislam na ukristo.
Waislam wanakimbilia nchi zenye wakristo wengi kujiokoa.
Angalia Yemen ,Afghanistan, Iraq, Somalia, Syria nk
 
EastAfrican Eagle naamuru maalaika warudishe itakavyo stahili malipo ya kejeli na maneno ya uongo uyatoayo sasa hivi KWA JINA LA YESU.

Maneno ya uongo yapi ya kusema ana ukimwi.Anao tena umejaa tele ndio maana anasema waulizwe madaktari na polisi akijua hawataweza sema.Lakini GWAJIMA anaumwa UKIMWI.
 
Wengi wa wateule wa Kikwete ni wahuni mfano wa huyu Makonda. Ametumika kumtukana Lowassa,baadae akampiga Warioba na sasa anamfuatilia Gwajima.Masifa tu.Ole wake Lowassa awe raisi.

Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.

Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.

Chanzo: Kutoka magazetini.
 
Duuh hajui huyo ni milinzi wa amani aka mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, ila nchi hii kuna baadhi ya watu wana raha wakitoa maneno yanayodhaniwa yamemkashifu mtu mwingine wanachoambiwa waende kituo cha polisi wakaripoti wenyewe lakini wengine utatafutwa kwa marungu au hapo hapo unapotoa hayo maneno unazuiwa na kufunguliwa mashitaka.
kwani anayo mamlaka gani kumwita na asipoenda kuna adhabu gani? makonda ni .....tu hana lolote na hana mamlaka kuniita hata mimi tu. mimi hata akinikuta nimekaa kwenye kiti mahali na siti zimeisha asifikiri nitasimama, siwezi kufikiria kabisa kama kuna mtu ameingia hapa, kidogoo mkuu wa mkoa ila kwa mkuu wa wilaya, yaani ni raia mdogo sana kwangu mimi binafsi. sembuse kwa gwajima sasa.
 
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE
ndugu, zipo sababu za kufuta NGO, ikifutwa bila sababu ya msingi unaenda mahakamani kushitaki na itarudishwa mara moja. ukiwa delegated mamlaka na sheria hautakiwi kuiabuse, hautakiwi kuwa biased, hautakiwi kuitumia kuvunja sheria, hautakiwi kuitumia vibaya, ukifanya hivyo upande wa pili wataitaka mahakama itoe mwongozo au amri ya kubatilisha ulichokifanya mara moja. tafuta mwanasheria yeyote karibu yako akufafanulie kitu kinachoitwa 'JUDICIAL REVIEW". utafunga mdomo wako.

kitu pekee ninachomlaumu mwanasheria wa gwajima ni kwamba, alipofika pale polisi, na kuanza kuhojiwa, alipewa haki lazima, haki mojawapo ni kuwa huru kuamua kutoa maelezo au kukataa kutoa maelezo ili ukakutane na tuhuma mahakamani ujitetee kulekule. story ingeishia hapo. angefika pale wanamwambia tupe maelezo, anawaambia nipeni tuhuma gani mnayonisuspect nayo? wakimwambia tuhuma anawaambia, sitoi maelezo (anayo haki hiyo) nitatoa maelezo yangu mahakamani wakati wa kesi). sasa yeye ameenda moja kwa moja anakubali kila kitu, matokeo yake wanamchokonoa wapendavyo hadi kusababisha matatizo kama yale. wanasheria wake wamempoteza au hawakumshauri vizuri. na alikuwa na haki ya kuwepo mwanasheria wake, ndugu au rafiki wakati wa kutoa maelezo yake...
 
Gwajima kachemka.Mkuu wa wilaya aweza futa au omba NGO fulani ifutwe au isifanye kazi wilayani kwake.hajui role ya mkuu wa wilaya kwenye NGO? ASUBIRI MUZIKI WAKE

Mkuu wa wilaya
 

Attachments

  • 1427990136317.jpg
    1427990136317.jpg
    32.9 KB · Views: 428
Hata kutukana Pengo kunaleta hisia za kidini kuwa Gwajima alimtukana kwa kuwa Pengo ni mkatoliki sio mpentekoste na hakuleti afya katika taifa.

Kukomesha vitu kama hivi kinachotakiwa mara ingine ni kufutilia mbali vidini ambavyo havileti afya kwa taifa.Hakuna ubaya .Ni heri kadini kamoja kakorofi kafutwe kuliko taifa liangamie kwa kukosa amani.

East African Eagle naona umekomaa na Askofu Gwajima sijui kachukuwa nini cha kwako. Ni vizuri ukatangaza maslahi uliyonayo. Post zako zinaonekana una alot of interest!
 
East African Eagle naona umekomaa na Askofu Gwajima sijui kachukuwa nini cha kwako. Ni vizuri ukatangaza maslahi uliyonayo. Post zako zinaonekana una alot of interest!

Labda atakuwa MBA.sha
 
Makonda yeye ni mwenyeki wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Kinondoni, pengine ana Ajenda zake lakini kubwa zaidi anajua Gwajima lazima angegoma kwenda Ofisini kwake hivyo iwe rahisi wao kupata sababu ya kumfukuza Wilaya ya Kinondoni, Gwajima uwe makini kwa hili.

Gwajima si mwepesi kama nilivyodhani mwanzo, ana watu wengi tena wanaomwamini na walio tayari kujitoa kwake hao watu watasikiliza atakavowaelekeza pa kupeleka kura. Hwa waumini wa Gwajima wnawea kuwa wawakilishi wa makanisa yasiyo ya kikatoliki wamekaa kimya ila hawamsapoti Pengo hivyo Gwajima kiburi yake ipo hapo anaweza kuathiri siasa za chama chochote au muonekano wa mwanasiasa fulani
 
Rungu apewa mwehu na wehu wenzake anataka kupiga watu wenye akili timamu ataweza???
 
Gwajima si mwepesi kama nilivyodhani mwanzo, ana watu wengi tena wanaomwamini na walio tayari kujitoa kwake hao watu watasikiliza atakavowaelekeza pa kupeleka kura.

Gwajima ana wafuasi elfu 60 anavyodanganya watu ( Elfu sitini hawawezi enea pale uwanja wa kawe ni mwongo mkubwa wakijaa sana pale ni elfu tatu) jiji la dar es salaam lina watu milioni tano.Wafuasi wa Gwajima tukichukua hiyo hesabu ya kuzuga ni asilimia moja tu ya watu wote wa dar hawaathiri chochote hata wote wapige kura ya hapana.
 
Back
Top Bottom