East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,209
Anahamia wilaya nyingine
Akihamia hiyo wilaya ingine Makonda hatakuwa na uwezo juu yake LAKINI AKIWA NDANI YA WILAYA YAKE YUKO CHINI YAKE
Anahamia wilaya nyingine
Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.
Chanzo: Kutoka magazetini.
Nini lengo hasa la kamati hiyo wakati tayari ameshahojiwa na polisi kwa jambo hilo hilo na leo amekwenda Ostabay polisi kuendelea na mahojiano,
Huoni Makonda anataka kuingilia mamlaka ya vyombo vingine, ndio maana nasema ni lazima Makonda ajifunze kuheshimu mamlaka zingine atambue hata kama ana mamlaka ya ki dc hawezi kufanya kazi peke yake.
Mbona kamanfda Kova hana muumini wala mfuasi wake hata mmoja mbona alipomwambia Gwajima aende kuripoti kwake mbona Gwajima alienda mbio tena kwa miguu baada ya kuona foleni ya magari inamchelewesha?
Kwenye mambo ya NGO mkuu wa wilaya ana nguvu kuliko Kamanda KOVA.
Gwajima anachezea moto.Hamjui mikuu wa wilaya ni nani anadhani naye ni mmoja wa hao misukule wake.Shauri yake wale mnaomuunga mkono asiende msije kuja kupiga yowe hapa tena kulalamika
Sababu inajulikana ni Gwajima kutumia maneno makali ya kichungaji kumuonya mchungaji mwenzake na aliyetolewa hayo maneno ameshasamehe sasa Makonda na kamati yake wanataka nini zaidi.Kwani anachomwitia kimeshajulikana mkuu
Nasema hivi Makonda hana uwezo wa kumfukuza Gwajima kinondoni, narudia tena HAWEZI
Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.
Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.
Chanzo: Kutoka magazetini.
Muda huu yuko polisi Ostabay kama Makonda anataka kumuona aende Ostabay sasa hivi otherwise ana lake jambo,Hatafuti sababu ila Gwajima ndiye anatunga sababu.Kama hana tatizo lolote kinachomfanya akatae wito wa mkuu wa wilaya ni nini? Mtu msafi haogopi kwenda polisi,mahakamani au kwa mkuu wa wilaya akiitwa.
Tunasoma hata Paulo na Sila waliomba milango ya gereza iliyokuwa ina simamiwa na Warumi ikafunguka.Hivyo hata wewe Mch wangu omba sana hata milango ya katiba pandikizwa itaachia.Kuna nguvu katika maombi,maombi yanaweza kabisa yakatupa katiba ya wananchi tuachane na watawala.Hata mimi niko nyuma yako
kwa hii sentensi ya mwisho,umeua!Binafsi sidhani kama Mch. Gwajima amekurupuka katika kauli yake. Nadhani kuna jambo na ndo maana amegoma kwenda kwa Kamati inayoongozwa na Makonda. Ikumbukwe kuwa Makonda Mwenyewe hana nidhamu kwani kipindi fulani aliwahi kuporomosha mvua ya matusi kwa viongozi wetu lakin hakuna Jeshi la Police wala Kamati ya ulinzi na usalama iliyomwita kumuhoji.
Sheria za nchii zina macho kama ya Kova.
Gwajima is my hero
Kamati ya ulinzi na usalama huwa ipo tu kwa mujibu wa sheria na moja ya mjumbe ni mkuu wa polisi wa wilaya husika. Mie nimeshawishika kuchangia si kwa kuwa Paul Makonda amemwita Gwajima bali nilikuwa naonyesha mamlaka aliyonayo mkuu wa wilaya yoyote kikubwa ashirikishe kamati yake na akiona kama yafaa kufanya hivyo pia endapo mgogoro utahusisha ummaSababu inajulikana ni Gwajima kutumia maneno makali ya kichungaji kumuonya mchungaji mwenzake na aliyetolewa hayo maneno ameshasamehe sasa Makonda na kamati yake wanataka nini zaidi.
Suala hilo liko polisi ni amani gani anayoitafuta Makonda isiyopatikana polisi kwani polisi wamesema wameshindwa hadi kamati iundwe?
Hivi huyu Makonda si ndiye alimpiga mzee Warioba? Afadhali Gwajima alishashtukia mapema!
Muda huu yuko polisi Ostabay kama Makonda anataka kumuona aende Ostabay sasa hivi otherwise ana lake jambo,
Watu hawachelei kuhisi labda Makonda anataka kumfanya kama alivyomfanya mzee Warioba maana tabia yake ya utukutu inajulikana.