dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,586
- 60,780
hahahahahaha, 'mayahudi' hao
Ndio uwezo wako wa akili ulipofikia.hahahahahaha, 'mayahudi' hao
Ila huyo dada anayashuhudia mengi mno ukute hata hakuyategemea ila ndio matokeo ya kuolewa na msanii.Sijui ni uhuru kuzidiView attachment 2095864
...na INA maana kuanzia Leo sofa ya MC, Master of Ceremony, imekufa sasa ni Nabii Pilipili ama Mchungaji Pilipili?Kwa hiyo ataanza kutuhubiria?![]()
wapumbavu kweli kweli sio kdgNaogopa sana kusema imani za watu. Ila kuna wapumbavu na wajinga wanasali kwa Masanja na wataenda na kwa pilipili. Ujinga ni mzigo sana. Acha nibaki na dini na imani yangu.
Hakyanane tena!...na INA maana kuanzia Leo sofa ya MC, Master of Ceremony, imekufa sasa ni Nabii Pilipili ama Mchungaji Pilipili?


.Mke apo ni anataka kucheka jinsi mkandamizaji anavomwaga upako ama ni vip😆😆😆Sijui ni uhuru kuzidiView attachment 2095864