Mbwana Samatta ilikuwaje ukashindwa kumhamishia baba yako ‘ushuani’ ukakubali afie Mbagala?

Mbwana Samatta ilikuwaje ukashindwa kumhamishia baba yako ‘ushuani’ ukakubali afie Mbagala?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Mbagala Zakheem sijui Rangi tatu ni sehemu za ovyo na za hali ya chini sana kwa jijini Dar es salaam.

Mahela yote ya wazungu ukashindwa hata kumjengea mzee wako mtoni kijichi

Diamond sio mjinga kuhama Tandale, Bakhresa zamani aliishi Kariakoo ila serikali ilimuhamisha kinguvu, najua hata Sumaye alikuwa na nyumba Mbagala ila alipopata akili na madaraka alihama.

Hakuna Staa mwenye akili atakubali kuishi mbagala hapa nyumba hapa jalala

Mimi sio staa na sina hela ila siwezi kuishi Mbagala.

Umemdhalilisha mzee wako. Wachezaji wenzako wa Ulaya wakija kukupa pole watakuona wa ajabu sana.

Sio kwamba wa Masaki hawafi, ila wastaafu hawapendi kelele wanapenda kuishi sehemu tulivu. Mbagala ni ‘ushenzini’

Watu wamekuja msibani hakuna parking, hakuna sehemu ya kufunga hema

Kama aligoma kuhama ungehamisha majirani ukaboresha makazi yake hapohapo
 
Kwahiyo angempeleka Masaki au kijichi au madale ingezuia kifo chake.

Kwa ufahamu wangu ni kuwa Mbagala alipokuwa anakaa Baba yake kuanzia Nyumba Maisha n.k ilikuwa ni high standard .

Mbagala wapo watu wengi na ambao wapo well of na wanaishi vizuri tu .
 
Kwahiyo angempeleka Masaki au kijichi au madale ingezuia kifo chake.

Kwa ufahamu wangu ni kuwa Mbagala alipokuwa anakaa Baba yake kuanzia Nyumba Maisha n.k ilikuwa ni high standard .

Mbagala wapo watu wengi na ambao wapo well of na wanaishi vizuri tu .
Wako well off kiuchumi ila kichwani hawajielewi
Kuzungukwa na masikini ni kero sana
Hata angeishi masaki angekufa ila hapa tunajaribu kumoa mtu hadhi yake
Wazee wanahitaji maeneo tulivu wajifika umri wa utu uzima
Mbagala sio sehemu sahihi
 
Unaliacha tu kama makumbushi unamuhamusha tu kwa kumshawishi
Huwezi mshawishi. Vinginevyo wazee wengi wangekuwa Dar kwa sasa na vijijini hawako ila hao wazee waligoma maisha ya town.

Kiuhalisia wazee wengi hawapendi maisha unayosema ya utulivu maana yanawaongezea msongo wa mawazo na kuwapunguzia siku za kuishi.
 
Ss ww untka akahamie oysterbay awatenge wazee wenzake? Aongee na Tv? Acheke na azungumze na nani?

Ivi unajua kua Wazee wengi wanakosa watu wa kuongea nao bcz kila mtu na harakati zake za Maisha

Acha kuishi maisha ya watu ishi maisha yako

Achana na yasiyo kuhusu
 
Ss ww untka akahamie oysterbay awatenge wazee wenzake? Aongee na Tv? Acheke na azungumze na nani?

Ivi unajua kua Wazee wengi wanakosa watu wa kuongea nao bcz kila mtu na harakati zake za Maisha

Acha kuishi maisha ya watu ishi maisha yako

Achana na yasiyo kuhusu
Kwa hiyo oysterbay hakuna watu?hana ndugu? Hana wajukuu?
Mtu mwenye akili hawezi kuishi mbagala
 
Huwezi mshawishi. Vinginevyo wazee wengi wangekuwa Dar kwa sasa na vijijini hawako ila hao wazee waligoma maisha ya town.

Kiuhalisia wazee wengi hawapendi maisha unayosema ya utulivu maana yanawaongezea msongo wa mawazo na kuwapunguzia siku za kuishi.
Vijiji vingi ni vizuri kuliko Mbagala Kwa maana ya kuishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom