Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
May be tusilaumu sana. Wako hatarini kutoweka kwa sasa. Kwenye maeneo mbalimbali ya mbuga zetu hawa mbwa mwitu hawaonekani tena baada ya kushambuliwa na magonjwa. Mpango uliwekwa wahifadhiwe na kutunzwa. May be na gharama zimekuwa kubwa sana kuwatunza maana na wabongo wanafaidkia huko huko. Ila mpango ni mzuri though wa gharama sana.
Mkuu ZeMarcopolo nafikiri wengi wahehifhadhiwa Mkomazi ndiko walikopelekwa baada ya tishio hilo pamoja na Rhino.
Gharama kweli ni kubwa ila hapo tegemea pia kuchakachuliwa maana kila mmoja atatafuta ulaji aise.
Kilichonishtua zaidi ni kwamba gharama hii imetolewa na VODACOM, sasa swali ni je, voda hawatumii hii kukwepa kodi!?
Katika report waliyotoa wanasema wamewarudisha mbugani kwenye regular wild life...
Kilichonishtua zaidi ni kwamba gharama hii imetolewa na VODACOM, sasa swali ni je, voda hawatumii hii kukwepa kodi!?
Katika report waliyotoa wanasema wamewarudisha mbugani kwenye regular wild life...
May be tusilaumu sana. Wako hatarini kutoweka kwa sasa. Kwenye maeneo mbalimbali ya mbuga zetu hawa mbwa mwitu hawaonekani tena baada ya kushambuliwa na magonjwa. Mpango uliwekwa wahifadhiwe na kutunzwa. May be na gharama zimekuwa kubwa sana kuwatunza maana na wabongo wanafaidkia huko huko. Ila mpango ni mzuri though wa gharama sana.
Ngambo Ngali nakubaliana na wewe. Gharama hizo zingeelekzwa kwa huduma ambazo zinaenda kwa wananchi wa kawaida. Wananchi wanaoteswa na lindi la umaskini na kukosa huduma muhimu.
Tatizo jingine ninaloliona na vipaumbele. Wale wanaopanga vipaumbele hawajafanya hivyo na ndo maana unaona mbwa mwitu wanaonekana bora kuliko hata binadam
@
Katika hilo ndugu yangu tujaribu kuwa wapana na wapembuzi. Halipo Tanzania tu, bali duniani kote na nimeshuhudia hivyo. Ukwepaji wa kodi wa aina hii una manufaa kwa taifa kukliko ule unaoingiza pesa kwenye mifuko ya watu binafsi. Njia hii ni halali kwani iko wazi na pesa zinazotolewa zinaelekezwa moja kwa moja kwenye huduma inayotambuliwa kitaifa sawa na kupeleka huduma kwa watu maskini, kusaidia watoto wenye mazingira magumu mitaani nk.
Vodacom wako sahihi katika hili na hapo pesa walizozitoa kwa huduma hiyo hawatatozwa kodi kama lilivyo popote duniani kwa vile ni kwa ajili ya huduma za kijamii na kitaifa mambo ambayo yalitakiwa yafanywe na serikali yenyewe. Ukiwadai kodi nis awa na serikali kudaiwa kodi.