Mbwa aina ya Bulldog wajeruhi familia

Mnaoongea hizi pumbaa hamuwajui hawa mbwa aina ya BULLDOG yani hata ulalae nae toka anazaliwa kuna siku haina jinaa atakufanya kitu kama hakujuii huwa wanapata wazimu sijui...!
Ungesoma nilichojibu na kuangalia Majibu yangu kwenye huu mjadala nafikiri usingekurupuka kujibu .....Rudi angalia niliyemjibu alikuwa ameandika Nini... Muwe mnasoma kuelewa sio mnasoma kujibu ...na msome aliyejibu alijibu(aliquote Nini).... Niliyemjibu ni Oppomall ambaye alisema " Hao mbwa wangepelekwa polisi wakafunzwe" ..ndio nikamjibu " samaki mkunje ingali mbichi " wanapelekwaje polisi kufundishwa wakiwa wakubwa hivyo ... !!? Pia, nilikoment mwanzo kabisa kabla ya hicho ulichosema nilisema mwanzo " hao mbwa hata uwazoee vipi hata kama unalala nao" .... Wakicharuka wanacheza na wewe.... Sasa sijui UMEKULA MAHARAGE YA WAPI .... kurupu... Punguzeni ujuaji..soma kuelewa alichoandika mtu na ufuatlilie michango yake katika mjadala husika.....
 
Mnaoongea hizi pumbaa hamuwajui hawa mbwa aina ya BULLDOG yani hata ulalae nae toka anazaliwa kuna siku haina jinaa atakufanya kitu kama hakujuii huwa wanapata wazimu sijui...
Shida ya watu wengi wanakurupuka tu kuanza kufuga bila kujua aina salama ya mbwa wa kufugwa majumbani. Yaani hao sio mbwa kabisa na sio uongo hata ulale naye kitanda kimoja ipo siku tu lazima atakudhuru tu. .
 
Ungesoma nilichojibu na kuangalia Majibu yangu kwenye huu mjadala nafikiri usingekurupuka kujibu .....Rudi angalia niliyemjibu alikuwa ameandika Nini... Muwe mnasoma kuelewa sio mnasoma kujibu ...na msome aliyejibu alijibu(aliquote Nini).... Niliyemjibu ni Oppomall ambaye alisema " Hao mbwa wangepelekwa polisi wakafunzwe" ..ndio nikamjibu " samaki mkunje ingali mbichi " wanapelekwaje polisi kufundishwa wakiwa wakubwa hivyo ... !!? Pia, nilikoment mwanzo kabisa kabla ya hicho ulichosema nilisema mwanzo " hao mbwa hata uwazoee vipi hata kama unalala nao" .... Wakicharuka wanacheza na wewe.... Sasa sijui UMEKULA MAHARAGE YA WAPI .... kurupu... Punguzeni ujuaji..soma kuelewa alichoandika mtu na ufuatlilie michango yake katika mjadala husika.....
ulichojibu ni pumbaaa uliemjibuu kakupotezea tuu ila nimeona nikwambieee hao sio mbwa wakusema utamfundisha akafundishikaaaa... akiwa anashambulia mtu wew mwenye nae huwezi mkataza zaidi atakugeukia na wewe.
 
Shida ya watu wengi wanakurupuka tu kuanza kufuga bila kujua aina salama ya mbwa wa kufugwa majumbani. Yaani hao sio mbwa kabisa na sio uongo hata ulale naye kitanda kimoja ipo siku tu lazima atakudhuru tu. .
hatari sana hata wale rotwellers nao sio mchezooo...!! ila bulldog ni full stop sio wa kufugaaa kabisa
 
Hao watoto kuna namna alikosea, mbwa ukute kanguruma wao wakaanza mbio au madihara nae.

Hao watoto ndio walitakiwa kumuita jina, huyo mama na kaka hawakupaswa maana mbwa anaweza tafsiri kama amri ya kushambulia sababu kwanza anayemwita anamjua na probably atamwita kwa uoga au vilio so kwa mbwa ni kuwa mmiliki wake yupo hatarini. Aisee hatakuacha salama.

Mbwa ni wakorofi ils hakuna mbwa mkorofi kwa mtu anayeweza kummudu. Kumpa mbwa chakula sio kigezo eti hatakushambulia. Kigezo pekee ni kuweza kummudu tu.

Point nyingine muhimu, mbwa wanafundishwa kwa rangi, sasa kuwa makini na mavazi yaliyopo nyumbani kwako na muda yanapotumiwa.

Katika hali zote kuna uzembe hao watoto waliufanya ukawaponza wote.
Wote kweli wamefanya uzembe!

Huyo mbwa ana matatizo
 
ulichojibu ni pumbaaa uliemjibuu kakupotezea tuu ila nimeona nikwambieee hao sio mbwa wakusema utamfundisha akafundishikaaaa... akiwa anashambulia mtu wew mwenye nae huwezi mkataza zaidi atakugeukia na wewe.
Ona mbwa ingine mnadandiaga tu matreni Kwa mbele .... Nenda kasome comment#193 niliandika nini....halafu wewe na mwenzako wa commens za mbeleni mnasema Nini kama sio kilekile nilichokisema post za Nyuma.... Niliyekuwa namjibu hapa ni aliyesema "hao mbwa wasingeuliwa wangepelekwa polisi".... Ndio nikamjibu samaki mkunje ingali mbichi hata Kwa mbwa lakini Sio hao ... Mnasomeaga ujinga wapi ndugu ZANGU...
 

Attachments

  • Screenshot_20240110-130205.jpg
    Screenshot_20240110-130205.jpg
    74.2 KB · Views: 4
Ona mbwa ingine mnadandiaga tu matreni Kwa mbele .... Nenda kasome comment#193 niliandika nini....halafu wewe na mwenzako wa commens za mbeleni mnasema Nini kama sio kilekile nilichokisema post za Nyuma.... Niliyekuwa namjibu hapa ni aliyesema "hao mbwa wasingeuliwa wangepelekwa polisi".... Ndio nikamjibu samaki mkunje ingali mbichi hata Kwa mbwa lakini Sio hao ... Mnasomeaga ujinga wapi ndugu ZANGU...
samaki mkunje angali mbichi hii methali haiendani na unachokisemaa na tukio kijana rudi shuleee...!!
 
samaki mkunje angali mbichi hii methali haiendani na unachokisemaa na tukio kijana rudi shuleee...!!
Mkuu naona umeamua tu kukomaza shingo

Jamaa tangu mwanzo alisema aina hii ya mbwa siyo ya kufuga..labda kama umeanzia mjadala katikati.

Kuhusu hilo jibu ni kwa yule aliyesema kwanini wamewapiga risasi mbwa..ndio ikawa mbwa alishaleta madhara lazima auawe..licha ya kwamba si mbwa wa kufugwa,lakini pia hawezi pelekwa huko maliasili hali ya kuwa alishajeruhi watu na tayari ni mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona umeamua tu kukomaza shingo

Jamaa tangu mwanzo alisema aina hii ya mbwa siyo ya kufuga..labda kama umeanzia mjadala katikati.

Kuhusu hilo jibu ni kwa yule aliyesema kwanini wamewapiga risasi mbwa..ndio ikawa mbwa alishaleta madhara lazima auawe..licha ya kwamba si mbwa wa kufugwa,lakini pia hawezi pelekwa huko maliasili hali ya kuwa alishajeruhi watu na tayari ni mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hapo umefafanua vyemaaa... kumbe jamaa sio kijana wa ovyooo
 
Habari za Asubuhi Team. Usiku wa kuamkia Tarehe 8/1/2023 majira ya saa Nne usiku Familia ya Ndugu yetu Nicholaus Kunju ilishambuliwa na Mbwa na kuisababishia madhara Kwenye sehemu mbalimbali za miili yao,walio shambuliwa ni Mke wake pamoja na watoto.Walikuwa Mbwa wawili aina ya Bulldog ambao anawafuga kwa ajili ya ulinzi nyumani kwake Usagara.

Mbwa hao walimshambulia binti yake wakati ametoka nje usiku huo wa saa Nne akiwa amesindikizwa na kaka yake mara baada ya uvamizi huo kijana mwingine na mama yao walitoka kutoa msaada lakini Mbwa hawakuwatii na kuwashambulia wote.

Wote walioshambuliwa na Mbwa sio wageni kwa Mbwa hao kwani wamekuwa wakiwahudumia kwa chakula.

Baada Familia huo kujinusuru na kukimbilia ndani Mbwa waliendelea kuwa wakali na hapakuwa na uwezekano wa kuwapatia huduma majeruhi kwani hakuna alieweza kuingia wala kutoka ndani ya uzio.

Wakati haya yanatokea Kunju alikuwa kazini zamu ya usiku na alipigiwa simu kujulishwa juu ya tukio huku na kuambiwa mmoja wa majeruhi ana hali mbaya.

Tulibahatika kufanya mawasiliano na Polisi kituo cha Misungwi ili waweze kufika eneo la tukio waue Mbwa ili msaada kwa majeruhi Upatikane.

Kwa ushirikiano na Zombwe na Lenox tulifanikisha kumtoa Kunju Kazini ili akashiriki uokoaji.

Polisi walifika Nyumbani kwa Kunju majira ya saa saba usiku wakitanguliwa na watu wa Maliasili na wafanikiwa kuwapiga risasi Mbwa wote wawili na Majeruhi wakapelekwa Hospilali ya Cf kwa Matibabu.

Majeruhi wote wanaendelea vizuri.Shukrani kwa wote walioshiriki Kwenye utatuzi bila kumsahau Sheik Abdallah Omari.

IMG-20240110-WA0070.jpg
IMG-20240110-WA0069.jpg

Hawa ni Bulldog pekee duniani wenye mikia mirefu kama wa mamba.
 
Back
Top Bottom