Mbwa wangu wamerogwa

Billion Dolar

JF-Expert Member
Apr 7, 2021
1,260
2,865
Saiz saa nane usiku ndo nimeunga code nimejua hili. Nina mbwa 2 mmoja wa zaman na mwingine hana hata miezi6.

Huyu wa zaman sijajua walimtengeneza lini ila kawa mpole kupitiliza anajiliza tu kama mbwa watoto wanavyolia hasa ninaporudi nyumbani kutoka safari ama kazini, sikuwa nimegundua hili.

Nlinunua mbwa mwingine mdogo ni wale mbwa wehu mda wote anabweka tu hekaheka nyingi ukimpa msosi yupo tauari kukupiga jino hata ww unayempa chakula ukienda kindezi.
Sasa wiki ilopita ghafla akawa kama kavynjwa mgongo akawa hatembei nikajua amepigwa usiku na watu sababu hana dogo, ama kapigwa na mijibwa mikubwa ila alikuwa mchangamfu tu, nlijaribu kumkagua kama kavunjika sehem sijaona kitu ila miguu ya nyuma haitembei.

Na hataki kula. Nikasafiri nimerudi leo nimemkuta anatembea fresh ila jimegundua tofauti yeye alikuwa ananibwekea nikirudi sio kwa shari bali kwa furaha kuniona nimerudi, cha ajabu leo naye ameanza kujilizaliza anakuja miguuni kwangu ila zaman alifanya hivi akiwa anabweka tena kwa sauti kubwa.

Kesho namkagua masikio na mkia huwa viko juu mda wote kuna mtu aliniambia ukiona mbwa masikio yamelala na mkia umelala jua keshachezewa huyo.na msikiliza sijamsikia kubweka ama kukimbiza hata wadudu usiku wakati kulikuwa na hekaheka usiku kucha hatulii.
 
Nitamksgua kesho niyakachofanya nawachukua wote kwenye gari naenda kuwatrlekrza mbali huko siez kaa na mijibwa inanitia gharama kuwalisha hata hayabweki

IMG_7727.jpg
 
🤣🤣🤣
Vipi familia yako wanapenda mbwa??

Huwa kuna tatizo watu wananunua mbwa alafu majukumu ya kuwatuanza anaachiwa mtu mwingine nyumbani. Aliyeleta mbwa hashindi nyumbani.

Hali ikiwa hivyo ujue ukiondoka tu mbwa anapitia kipindi kigumu, hata chakula watu wanasahau kumpa. Mwisho wa siku anakata tamaa jumla, furaha yote ya maisha inapotea.
 

Vipi familia yako wanapenda mbwa??

Huwa kuna tatizo watu wananunua mbwa alafu majukumu ya kuwatuanza anaachiwa mtu mwingine nyumbani. Aliyeleta mbwa hashindi nyumbani.

Hali ikiwa hivyo ujue ukiondoka tu mbwa anapitia kipindi kigumu, hata chakula watu wanasahau kumpa. Mwisho wa siku anakata tamaa jumla, furaha yote ya maisha inapotea.
Nawatunza mm mwenyewe mkuu naish prke yangu. And nikisafiri kuna mtu huwa namlipa anawahudumia. Sijapanga naish kwangu na niko peke yangu
 
Watakuwa wagonjwa, tafuta dokta wa mifugo awapige sindano, pia wapikie kilo 5 za steki ya ng'ombe kwa muda wa wiki mbili
 
Wangu walikuwa hivyo hivyo na viroboto visivyo isha

Nikaenda kuwa tupa na viroboto kwisha kabisa

Mbwa gani abweki na yupo kwao, mbwa mgeni ukija ana kushobokea utazani mbwa wako ana kuja ana tikisa mkia ana kaa miguuni mwako

Mbwa kazi yake kula, ukitaka kusikia Katoa sauti basi usimpe msosi, utasikia sauti zote za malalamiko
 
Back
Top Bottom