KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,592
- 3,839
Na KENGE,
Baada ya wanasayansi kugundua technolojia ya CROSS-BREEDING(Kuchanganya vinasaba ili kupata uzao bora zaidi).Walifanikiwa kupata faida kubwa ikiwemo baadhi ya Magonjwa kuisha(Disease Modification) pia vilevile kupata specie bora zaidi inayoweza kusurvive under tough environmental condition(Mazingira magumu kama baridi,Ukame,joto n.k)(Adaptation)
Baadhi ya specie zilizofanyiwa breeding ni BROILER maarufu kama KUKU WA KIZUNGU(Hapa walichanganya kuku wa kizungu na kuku wa nyama wakapata Kuku wenye nyama nyingi zaidi) Pia ng'ombe wa maziwa nchini Australia kuna Ng'ombe wanatoa Maziwa kama wamefungiwa Visima tumboni,Pia Nguruwe(Mdudu) na wanyama wengi zaidi,Pia hata mimea inafanyiwa breeding kupata mazao bora kabisa.
Sasa awa mbwa aina ya PITBULL waliopatikana baada ya tecknologia ya breeding walionekana na maumbo madogo sana lakini balaa lake lilikua sio la kitoto.Baadhi ya sababu zilizopelekea kutoruhusiwa kufugwa majumbani(Domestic) ni kama zifuatazo:
~Takriban kesi 95% za watu kuumwa na mbwa zilikuwa zinamuhusu mbwa huyu PITBULL
~Kesi nyingi ziliripotiwa watoto wadogo kung'atwa na kuuliwa na aina hii ya Mbwa(Ilionekana hawataki mazoea kabsa na watoto kama mbwa wengine)
~Walikuwa na ugonjwa wa kusahau mmiliki ndani ya mda mchache(Kama unammiliki asipokuona ndani ya siku 2 anakusahau na akikusahau anakuona kama stranger au kibaka tu kwaio utapambana nae)
~PItbull wanamiili migumu sana na wamekomaa na misuli kama bodybuilder
Mbali na hayo PITBULL walionesha ubabe kwa wenzao na walitenganishwa na wenzao kila ifikapo mda wa msosi kutokana na Ukorofi wao.
Kwasasa hawaruhusiwi kufugwa majumbani ila wanatumika na mamlaka za Usalama kama Polisi na Wanajeshi
NB:Kuna mwanamziki anaitwa Pitbull(Mzee wa suti) alipoulizwa kwanini amechagua jina hilo alisema ni kwasababu anarap(Flow ngumu sio laini)na aina hii ya mbwa haiko tayari kupoteza pambano
Na kweli mbwa huyu anatabia ya kung'ata(Maliasili/Ikulu) korodani hasa kwa wanaume aking'ata kuja kumtoa iliwalazimu mapolisi kutumia bunduki baada ya Rungu kushindikana kwenye kesi nyingi zilizoripotiwa.
Nawasilisha
Cc KENGE 01 .
Baada ya wanasayansi kugundua technolojia ya CROSS-BREEDING(Kuchanganya vinasaba ili kupata uzao bora zaidi).Walifanikiwa kupata faida kubwa ikiwemo baadhi ya Magonjwa kuisha(Disease Modification) pia vilevile kupata specie bora zaidi inayoweza kusurvive under tough environmental condition(Mazingira magumu kama baridi,Ukame,joto n.k)(Adaptation)
Baadhi ya specie zilizofanyiwa breeding ni BROILER maarufu kama KUKU WA KIZUNGU(Hapa walichanganya kuku wa kizungu na kuku wa nyama wakapata Kuku wenye nyama nyingi zaidi) Pia ng'ombe wa maziwa nchini Australia kuna Ng'ombe wanatoa Maziwa kama wamefungiwa Visima tumboni,Pia Nguruwe(Mdudu) na wanyama wengi zaidi,Pia hata mimea inafanyiwa breeding kupata mazao bora kabisa.
Sasa awa mbwa aina ya PITBULL waliopatikana baada ya tecknologia ya breeding walionekana na maumbo madogo sana lakini balaa lake lilikua sio la kitoto.Baadhi ya sababu zilizopelekea kutoruhusiwa kufugwa majumbani(Domestic) ni kama zifuatazo:
~Takriban kesi 95% za watu kuumwa na mbwa zilikuwa zinamuhusu mbwa huyu PITBULL
~Kesi nyingi ziliripotiwa watoto wadogo kung'atwa na kuuliwa na aina hii ya Mbwa(Ilionekana hawataki mazoea kabsa na watoto kama mbwa wengine)
~Walikuwa na ugonjwa wa kusahau mmiliki ndani ya mda mchache(Kama unammiliki asipokuona ndani ya siku 2 anakusahau na akikusahau anakuona kama stranger au kibaka tu kwaio utapambana nae)
~PItbull wanamiili migumu sana na wamekomaa na misuli kama bodybuilder
Mbali na hayo PITBULL walionesha ubabe kwa wenzao na walitenganishwa na wenzao kila ifikapo mda wa msosi kutokana na Ukorofi wao.
Kwasasa hawaruhusiwi kufugwa majumbani ila wanatumika na mamlaka za Usalama kama Polisi na Wanajeshi
NB:Kuna mwanamziki anaitwa Pitbull(Mzee wa suti) alipoulizwa kwanini amechagua jina hilo alisema ni kwasababu anarap(Flow ngumu sio laini)na aina hii ya mbwa haiko tayari kupoteza pambano
Na kweli mbwa huyu anatabia ya kung'ata(Maliasili/Ikulu) korodani hasa kwa wanaume aking'ata kuja kumtoa iliwalazimu mapolisi kutumia bunduki baada ya Rungu kushindikana kwenye kesi nyingi zilizoripotiwa.
Nawasilisha
Cc KENGE 01 .