Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,657
Kazi ya mwingulu hiyo,katoka kwa wake za watu kahamia kwa Mbuzi
Hata miminataman uyo mtoto wa mbuzi afanane na babayake ili tumjue
Mkuu soma uzi vizuri.Ilikuwa ni habari ITV. Labda waulizwe waoYeah , biologically haitawezekana , Hata huo uchawi wa hivyo on my side i do not believe , Labda kama mleta uzi kaamua kufurahisha Jf , vinginevyo a very strong evidence inahitajika .
Genetically not possible....huo utakua ulozi tu
Picha ni hii hapa ila Samahanini kama Itawakwaza.........Nitaitoa muda si mrefu
![]()
Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi ya ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hiyo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii
maajabu ya dunia tz yamejaa.inamaana kuna kidume kimepiga nanihii ya mbuzi
Watoto wa namna hiyo baadaye huja kusumbua humu kwenye majukwaa ya JF kwa maneno machafu.