Mbuzi azaa binaadamu Singida

Mbuzi azaa binaadamu Singida

Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi ya ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hiyo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii

Genetically not possible....huo utakua ulozi tu
 
Hiki nacho kitimbi kingine hakika mwisho wa dunia huja na maajabu mengi
 
Ni kweli kabisa ulisemalo..... Haiwezekani as per chromosome number.
Hili ndo tatizo la kuwa na shule ndogo na kufikiri kidogo. Wewe kitu kimetokea halafu unasema haiwezekani badala ya kufikiria zaidi..! Weka bembeni hicho kibiologia chako and Think big
 
Itakuwa mutation in action, binadamu na mbuzi hawawezi kupata mtoto
 
830970_268999_10151104207128409_1778608193_n_jpg453a5206913b773784122e28f566077f

Oya mbuzi vp toa jibu bana! C unahusika.
 
Huenda aliyezaa ni binadamu kamili ila jina lake ni mbuzi coz kuna watu majina waliyopewa ni ya wanyama.
 
Hebu tujuze ndugu. Idadi ya 'chromosomes' za mbuzi ni ngapi?

Kama umeweza kufungua JF, next tab unaweza kufungua Google au Wikipedia pia...acha kuwa mvivu kutafiti
 
Ingawa haikuoneshwa au kuelezwa vyema,habari mkanda-tembezi ya ITV zinasema kuwa mnyama aina ya mbuzi amezaa mtoto wa binaadamu mkoani Singida. Sijui kwanini haikuelezwa kwa kina habari hiyo. Mlio Singida mtusaidie kujua habari hii

Inategemea habari hii iko katika mtazamo upi, lakini

Kisayansi HAIWEZEKANI mbuzi(kumzaa mwanadamu) au binadamu kujifungua mbuzi.

Hii hutokana na sababu za genetics, yaani chromosome zile zinazohusika hasa katika utengenezaji wa Mwanadamu yaani jozi 23(23pairs) kutowiana na zile za mnyama(mbuzi).

Vile vile, utungwaji wa mimba/ujauzito hutegemea makuzi ya mtoto, nikimaanisha kila siku tangu kutungwa kwa mimba/ujauzito mabadiliko hutokea kuelekea katika kumfanya mtu awe kamili/na viungo vyote.Sasa muda wa ujauzito wa Mbuzi ni mfupi zaidi ukilinganisha na ule wa mwanadamu.

Sababu hizi na nyinginezo nyingi mf. makundi ya damu, aina ya chakula na virutubisho, n.k hufanya jambo hili kuwa la 'Kufikirika'
 
Huyo mtoto aliyezaliwa na mbuzi atakuwa anafanana na mzee wa gombe...
 
Mpenda vya wake za watu bwana chamber anahusika.NA ITAKUWA JIMBONI KWAKE HIYO.
 
Petro E. Mselewa

Mombasa ilishatokea mambo haya ... ya mnyama kuzaa kiumbe kama binadamu
Video
 
Last edited by a moderator:
Hii nchi ya JK ina mambo. Halafu huyo mtoto wa mbuzi atakuwa kada wa CCM
 
Back
Top Bottom