habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
hawa wahuni wahuni hawa wanapaswa kubinywa sawa sawa waache kutuvurugia nchi
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
hawa wahuni wahuni hawa wanapaswa kubinywa sawa sawa waache kutuvurugia nchi
Acheni kumpa umaarufu huyo jamaa, hana lolote kwa kufanya hivyo mtamuongezea umaarufu among the uneducatedwana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge
wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa
korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani
jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO
YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI
BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
anatakiwa akalipe mali zilizo ibiwa na vibaka wenzie
Hicho ki MY TAKE chako kimekaa kipashkuna kweli ! Unaonaje kama ndiyo kingekuwa heading .
Ange nyimwa dhamana huyo mvuruga amani wa Taifa letu.
ha kumbe WENJE ni Mkenya! nawaunga mkono polisi maana huyu WENJE atakuwa na makosa mengi kama ifuatavyo
- kuingia nchini bila ya kibali
- kufanya kazi nchini bila ya kibali
- kuhamasisha vurugu nchini
- kuitisha maandamano yasiyo halali
- kufanya maandamano yasiyo na kibali cha polisi
- endelea kuorodhesha...................
Huyo Bisimba hutakiwi hata uwe na elimu ya vidudu kung'amua hilo.Halafu sijui inakuwaje. wanaosumbua wote ukifuatilia origin yao utaambiwa kuwa ni wageni. tuanze na hawa wafuatao
- Sheikh Ponda Isa Ponda .................Burundi
- hELEN kijo Bisimba.........................Rwanda
- Sheikh Farid.................................Yemen
- WENJE.........................................Kenya
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Hicho ki MY TAKE chako kimekaa kipashkuna kweli ! Unaonaje kama ndiyo kingekuwa heading .
mpuuzi kweli ww, mungu gani anayesikiliza wauwaji
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
matusi yana haribu mada na yana haribu jukwaa na ni ishara ya kushindwa.