Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
maisha haya ya kuendekeza matumbo hata siku moja utaendelea kuwa maskini hadi mwisho wako! ustegemee fadhira za ccm....!
 
Huko selo sijui kama atatoka salama,wasije kumharibu kijana wa watu
 
police hiyo ccm inawadanganya mtaadhirika na watoto wenu! Maana hamasa ya ukombozi imeenea nchi nzima njooni na huku vijijini mtuue! Lakini kumbukeni your days are numbered na ccm yenu.
 
police muhakikishe atakaekamatwa akitoka huko ndani ahanisiwe ili iwe fundisho kwa wengine wanaodhani bila matukio hakuna chama. ni upumba kila siku wafanyabiashara na watu na shuhuli zao kukwama au uharibifu mkubwa kutokea huku wao wakitembea na helcopter kukwepa izo fujo shame chadema.
 
huu ni mwanzo tu, hatuogopi jela wala polisi, mwisho wa mateso haya ni 2015

polisi wenyewe wanatupiga ili tuandamane nchi nzima maana na wenyewe wamepigika sio kidogo. Tatizo watanzani hatujajua hawa jamaa wanatusaidia tu ili tulianzishe na wao wapate maisha matam baada ya serikali dhalim kutoka.
 
Last edited by a moderator:
inakera sana kwa mtanzania mwenye akili timamu kushabikia polisi kupiga wananchi wanao wakilisha kero zao kwa njia halali halafu wanapigwa wewe unapongeza. hata kama unamasilahi na chama hicho lakini tambua ukweli utasimama tu na utajidhihikisha. mlaaniwe wote mnao washabikia polisi na ccm na watu wote wasema aminaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom