Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
Mie gari langu aina ya Land Cruiser V8 limechomwa moto na waandamanaji hao
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
hapa cha muhimu ni kubinywa tu hata kama atashikiliwa kwa dakika 10 mpaka kijasho kimtoke
hapa cha muhimu ni kubinywa tu hata kama atashikiliwa kwa dakika 10 mpaka kijasho kimtoke
View attachment 108088wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
mkuu watanzania wote ni pamoja na hao mapolisccm?Mkuu, kwani si machadema yalitutangazia humu JF kuwa maandamano yaliruhusiwa na kwamba yangepokelewa na mkuu wa mkoa? hii ni failure nyingine ya chadema. walidhani kuwa watafanikiwa kuwadanganya watanzania wote kumbe wanajidanganya wenyewe
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
samahani ni mali gani zilizoharibiwa jana kwenye maandamano?
Duh!Mkuu umenikumbusaha tukio la kuchekeshaalidumbukia kwenye zizi la nguruwe na kujipaka kinyesi. Walio karibu na tukio hilo walisikika wakiimba Lema kweli!jamaa (Lema)afanywe kama alivofanywa lema kule arusha
Mkuu, kwani si machadema yalitutangazia humu JF kuwa maandamano yaliruhusiwa na kwamba yangepokelewa na mkuu wa mkoa? hii ni failure nyingine ya chadema. walidhani kuwa watafanikiwa kuwadanganya watanzania wote kumbe wanajidanganya wenyewe
Acha kutisha watu wewe. kama imekuuma sana bora ukae kimya tu
Akajumuishwe na shekhe ponda?huyo wenje afungwe maisha tu,hana lolote
ajumuishwe na lwakatare, mzee wa sumuAkajumuishwe na shekhe ponda?