Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,692
- 26,584
maswali ya kipumbafu utajibiwa na wapuuzi wenzio ndo maana watu walikupotezea
Umesoma taarifa zozote toka kwa Mwakyembe katika siku mbili hizi? Nini maoni yako?
maswali ya kipumbafu utajibiwa na wapuuzi wenzio ndo maana watu walikupotezea
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Uonevu wa polisi unasaidia CHADEMA kusikilizwa kilio chao na Mungu
Namhurumia sana Wenje watamuumiza,tatizo la wenje ni mtukutu sana,kwanza napinga suala la kwamba yeye ni mkenye kw sababu nimesoma naye kidato cha pili mpaka cha sita na nilikuwa kiranja wake wa bweni n baadae tukakutana SAUT akiw anachukuwa Education mimi nachukua uchumi,likuwa mkorofi sana na vituko vingi ambavyo naona ameendelea kuwa navyo,kwenye suala la ukorofi wala mtu asipinge huyu jamaa ni mkorofi sana,na ni mwanzilishi sana wa vurugu hata wakati tuko shuke aliwahi kusababisha mgomo.
ahahaha mkuu namaanisha kwamba kuna majangili, kuna Wenje!
Kuna wauza madawa, kuan wenje!
sasa, wangekamatwa kwanza majangili kwa kasi na weledi huu huu, tungekuwa mbali sana
Kwen madawa ..so far huko nje wanatusaidia kutuambia kuwa nyie hamjui kazi, ngoja tuwafundishe
kwa hiyo issue ni wangapi wamemwagiwa tindikali, wamelishwa sumu au wamekufa kwenye maandamano??
wewe unatumia kamasi kufikiria
ha kumbe WENJE ni Mkenya! nawaunga mkono polisi maana huyu WENJE atakuwa na makosa mengi kama ifuatavyo
- kuingia nchini bila ya kibali
- kufanya kazi nchini bila ya kibali
- kuhamasisha vurugu nchini
- kuitisha maandamano yasiyo halali
- kufanya maandamano yasiyo na kibali cha polisi
- endelea kuorodhesha...................
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
wenje ni mbunge mhuni sijapata ona
Posts : 2,732
Rep Power :0
Mandela hakuleta fujo za kihuni kama wanazoleta CHADEMA. alitumia vizuri majukwaa na wala hakuhamasisha fujo. mandela hakutembea na sumu mfukoni na wala hakujenga uadui na wale waliokuwa wanamsaidia. tofauti na ilivyo ndani ya chademaLusewa,na watu wenye mawazo sawa na yako,nataka kuwaambia kwamba HAKI HAIPATIKANI KWENYE SAHANI.Huwezi kuyazuia mafuriko kwa mkono.
Mandela alipokamatwa na makaburu,kuna watu walilisifu sana jeshi la makaburu kumkamata Mandela mleta fujo.Kwa hiyo wewe siyo wa kwanza.Nashindwa kusema mengi kwa vile sijui elimu yako.
Join Date : 19th August 2013
Posts : 30
Rep Power : 307
Likes Received1
Likes Given4
Tatizo lako liko hapo
Namhurumia sana Wenje watamuumiza,tatizo la wenje ni mtukutu sana,kwanza napinga suala la kwamba yeye ni mkenye kw sababu nimesoma naye kidato cha pili mpaka cha sita na nilikuwa kiranja wake wa bweni n baadae tukakutana SAUT akiw anachukuwa Education mimi nachukua uchumi,likuwa mkorofi sana na vituko vingi ambavyo naona ameendelea kuwa navyo,kwenye suala la ukorofi wala mtu asipinge huyu jamaa ni mkorofi sana,na ni mwanzilishi sana wa vurugu hata wakati tuko shuke aliwahi kusababisha mgomo.
wenje ni mbunge mhuni sijapata ona