Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,815
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

Mkuu, kwani si machadema yalitutangazia humu JF kuwa maandamano yaliruhusiwa na kwamba yangepokelewa na mkuu wa mkoa? hii ni failure nyingine ya chadema. walidhani kuwa watafanikiwa kuwadanganya watanzania wote kumbe wanajidanganya wenyewe
 
Siku hizi kukamatwa na police si issue sana,kama watu walikamtwa wakapandishwa ndege,malazi chakula na kisha kuachiwa sasa hapo unaweza shangaa nini kwa wenje!

sema tu siku hizi NAPE au Mwingulu wanaweza kupiga simu kwa polisi na kuagiza wenje akamatwe japo wapumue kwa siku kadhaa
 
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo



Join Date : 19th August 2013

Posts : 24
Rep Power : 305
Likes Received 1

Likes Given 0



Sina muda wa kujadili post yako kwani wewe hapo ulipo hata uenyeji huna, ndo unatia mguu tu ndani ya nyumba tayari ushaanza kuharishia sebule?, watu wa CHAMA CHA MASHETANI sijui haziwatoshi?
 
Siku hizi kukamatwa na police si issue sana,kama watu walikamtwa wakapandishwa ndege,malazi chakula na kisha kuachiwa sasa hapo unaweza shangaa nini kwa wenje!

sema tu siku hizi NAPE au Mwingulu wanaweza kupiga simu kwa polisi na kuagiza wenje akamatwe japo wapumue kwa siku kadhaa


hawa wanalidhalilisha jeshi la polisi kweli kweli -- hasa pale kila kesi zao hugonga mwamba mahakamani. it's a disgrace to the country!!!
 
Hivi mtu ikidhibitika kasema/kuandika uongo, sianafungiwa au?

Kwani huyu mama, usema uongo sanaa na afungiwi, ref issue ya tabata mkutano n.k

Mod fanyeni kazi vizuri tafadhari, piga BAN huyu anaalibu hadhi ya Jf.
 
Siku hizi kukamatwa na police si issue sana,kama watu walikamtwa wakapandishwa ndege,malazi chakula na kisha kuachiwa sasa hapo unaweza shangaa nini kwa wenje!

sema tu siku hizi NAPE au Mwingulu wanaweza kupiga simu kwa polisi na kuagiza wenje akamatwe japo wapumue kwa siku kadhaa
kwa hiyo issue ni wangapi wamemwagiwa tindikali, wamelishwa sumu au wamekufa kwenye maandamano??
 
Mleta mada anatakiwa kupimwa akili.

Tangu lini maandamano haramu yakaongozwa na polisi kuanzia Buzuruga mpaka viwanja vya Furahisha?

Tafuta ukweli wa alichoitiwa na polisi sio kukurupuka na tongotongo kuleta mada isiyoeleweka.
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

Hivi una akili kweli wewe, kama hawawezi kuandamana kudai madiwani wao waliosimamishwa na meya aliepachikwa kihuni na ccm CDM kama chama unataka wafanyenini? wakae tu na kushuhudia upuuzi mkubwa ukifanywa na ccm! JITAMBUE
 
Mleta mada shukrani kwa taarifa nzuri
Kosa lako ni kuzungumzia kana kwamba
Chadema na Wenje ni tatizo kitu ambacho
huenda umeweka mahaba kwa CCM.

Siku nyingine uwe makini na hilo mdau.
 
Join Date : 19th August 2013

Posts : 24
Rep Power : 305
Likes Received 1

Likes Given 0



Sina muda wa kujadili post yako kwani wewe hapo ulipo hata uenyeji huna, ndo unatia mguu tu ndani ya nyumba tayari ushaanza kuharishia sebule?, watu wa CHAMA CHA MASHETANI sijui haziwatoshi?

Acha kutisha watu wewe. kama imekuuma sana bora ukae kimya tu
 
Mleta mada shukrani kwa taarifa nzuri
Kosa lako ni kuzungumzia kana kwamba
Chadema na Wenje ni tatizo kitu ambacho
huenda umeweka mahaba kwa CCM.

Siku nyingine uwe makini na hilo mdau.

Mkuu, kama wewe ungekuwa ni mfanyabiashara, nadhani ungekubaliana na mleta mada maana maandamano yalikwamisha vitu vingi sana. watu wameporwa, wengine walilazimika kufunga maduka yao na ghazabu chungu nzima
 
Hivi mtu ikidhibitika kasema/kuandika uongo, sianafungiwa au?

Kwani huyu mama, usema uongo sanaa na afungiwi, ref issue ya tabata mkutano n.k

Mod fanyeni kazi vizuri tafadhari, piga BAN huyu anaalibu hadhi ya Jf.

acha kulialia kwa mods ww, jibu hoja hapa jukwaani, hili jukwaa sio la chadema. wenje ametiwa lupango, we kama umefungiwa kwenye kopo utajuaje yanayoendelea duniani?? mkutano wa tabata ni kweli haukuwa na watu na kama ni uongo aje aweda hapa akanushe kwa ushahidi. tumia kichwa kufikiri
 
kawaida 2 mbona makamanda kuwekwa ndani suburia nusu saa kama hatakua mtaani na ukombozi unaendelea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom