Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,194
- 7,029
Lwakatare yupo nje lakini gaidi ponda yupo ndaniajumuishwe na lwakatare, mzee wa sumu
Lwakatare yupo nje lakini gaidi ponda yupo ndaniajumuishwe na lwakatare, mzee wa sumu
Wewe acha ufara wako. Nakuamuru fuatilia sababu ya Wenje kukamatwa ili ubaini utofauti wa kile ulichokiropoka na uhalisia wa jambO.
mfano mbowe mwenye form 4 failure lakini anaongoza maprofesa akina baregu, safari, madokta akina kitila ma masters akina zitto nk
Maandamano ya Chadema Jana yameniacha masikini vijana wa Chadema waliokunywa viroba wamepora biashara yangu na taarifa zipo polisi. Natembea na RB ya kumkamata Wenje yeyye ndiye aliye ongoza Maandamano.
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Mie gari langu aina ya Land Cruiser V8 limechomwa moto na waandamanaji hao
Ni heri jangili anayeua tembo kuliko jangili anayeua UZALENDO,AMANI,UTULIVU,MSHIKAMANO na UTANGAMANO miongoni mwa watanzania.Hivi majangili wangekamatwa kwa kasi hii, tembo wetu wangekuwepo wengi sana sasa hivi
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Lipembe la Ponda tu ndio limekatika kwa risasi juz moro...wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Mkuu, kwani si machadema yalitutangazia humu JF kuwa maandamano yaliruhusiwa na kwamba yangepokelewa na mkuu wa mkoa?
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
duh mla panya mpaka wamekufufua ulikokuwa baada ya kusikia Wenje ha ha ha unapmba afungwe lakini kama ni polisi huko ni sebule ya makamandaNi heri jangili anayeua tembo kuliko jangili anayeua UZALENDO,AMANI,UTULIVU,MSHIKAMANO na UTANGAMANO miongoni mwa watanzania.
Wabaka amani ni hatari kuliko wabaka utupu.
Penye uzalendo wa kweli hata TEMBO watasalimika.
Let him go to helllllllllllllllllll
hahahaaaaaa, yaani hiki chama kimelaaniwa kweli. yaani wasomi wanatumika tu kwa manufaa ya vilaza!
Mkuu, kwani si machadema yalitutangazia humu JF kuwa maandamano yaliruhusiwa na kwamba yangepokelewa na mkuu wa mkoa? hii ni failure nyingine ya chadema. walidhani kuwa watafanikiwa kuwadanganya watanzania wote kumbe wanajidanganya wenyewe
kwa hiyo issue ni wangapi wamemwagiwa tindikali, wamelishwa sumu au wamekufa kwenye maandamano??
Ni heri jangili anayeua tembo kuliko jangili anayeua UZALENDO,AMANI,UTULIVU,MSHIKAMANO na UTANGAMANO miongoni mwa watanzania.
Wabaka amani ni hatari kuliko wabaka utupu.
Penye uzalendo wa kweli hata TEMBO watasalimika.
Let him go to helllllllllllllllllll