Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
Mkuu, kama wewe ungekuwa ni mfanyabiashara, nadhani ungekubaliana na mleta mada maana maandamano yalikwamisha vitu vingi sana. watu wameporwa, wengine walilazimika kufunga maduka yao na ghazabu chungu nzima


Nina wasiwasi na wewe, kama kweli una akili timamu unawezaje kudeal na outcome badala ya kudeal na root cause?, unawezaji kudeal na maandamano badala ya kudeal na root cause ya maandamano haya?, nyie ndo mnaabiwa kufunga maji, badala ya kufunga tape nyie mnabana horse pipe eti ili yasiendelee kutoka.
 
Piga ndan huyo mkenya

ha kumbe WENJE ni Mkenya! nawaunga mkono polisi maana huyu WENJE atakuwa na makosa mengi kama ifuatavyo
  1. kuingia nchini bila ya kibali
  2. kufanya kazi nchini bila ya kibali
  3. kuhamasisha vurugu nchini
  4. kuitisha maandamano yasiyo halali
  5. kufanya maandamano yasiyo na kibali cha polisi
  6. endelea kuorodhesha...................
 
Nina wasiwasi na wewe, kama kweli una akili timamu unawezaje kudeal na outcome badala ya kudeal na root cause?, unawezaji kudeal na maandamano badala ya kudeal na root cause ya maandamano haya?, nyie ndo mnaabiwa kufunga maji, badala ya kufunga tape nyie mnabana horse pipe eti ili yasiendelee kutoka.
mkuu, kwani taratibu za kumuondoa meya si zinafahamika? je meya anaweza kuondolewa kwa njia ya maandamano? na je baada ya kuandamana, ameng'oka? kweli chadema ni vihiyo
 
uko kijiji gani unaishi na taarifa za jana

Eti katibu mwenezi -------- hivi...kwa hiyo taarifa za jana hazina uhusianao na taarifa za leo? kwa hiyo Wenje kaandamana leo, hivi kigezo cha kuwa katibu mwenezi wa CCM ni kuwa mjinga kiasi gani..
 
Uonevu wa polisi unasaidia CHADEMA kusikilizwa kilio chao na Mungu

Ha! mbona unalitaja bure jina la Mungu wako? Mungu gani anaruhusu maandamano, mauaji, uzinzi na kupora wake za watu?
 
acha kulialia kwa mods ww, jibu hoja hapa jukwaani, hili jukwaa sio la chadema. wenje ametiwa lupango, we kama umefungiwa kwenye kopo utajuaje yanayoendelea duniani?? mkutano wa tabata ni kweli haukuwa na watu na kama ni uongo aje aweda hapa akanushe kwa ushahidi. tumia kichwa kufikiri
utakuwa unatumia hii kitu
 

Attachments

  • Photo-0012.jpg
    Photo-0012.jpg
    26.4 KB · Views: 93
tena shughulikia hasa,


Namhurumia sana Wenje watamuumiza,tatizo la wenje ni mtukutu sana,kwanza napinga suala la kwamba yeye ni mkenye kw sababu nimesoma naye kidato cha pili mpaka cha sita na nilikuwa kiranja wake wa bweni n baadae tukakutana SAUT akiw anachukuwa Education mimi nachukua uchumi,likuwa mkorofi sana na vituko vingi ambavyo naona ameendelea kuwa navyo,kwenye suala la ukorofi wala mtu asipinge huyu jamaa ni mkorofi sana,na ni mwanzilishi sana wa vurugu hata wakati tuko shuke aliwahi kusababisha mgomo.
 
mkuu unamaanisha Wenje ni jangili wa Tembo au??,kwa sababu ndiye anayedaiwa kukamtwa kwenye post hii!!

ahahaha mkuu namaanisha kwamba kuna majangili, kuna Wenje!

Kuna wauza madawa, kuan wenje!

sasa, wangekamatwa kwanza majangili kwa kasi na weledi huu huu, tungekuwa mbali sana

Kwen madawa ..so far huko nje wanatusaidia kutuambia kuwa nyie hamjui kazi, ngoja tuwafundishe
 
Mkuu, kama wewe ungekuwa ni mfanyabiashara, nadhani ungekubaliana na mleta mada maana maandamano yalikwamisha vitu vingi sana. watu wameporwa, wengine walilazimika kufunga maduka yao na ghazabu chungu nzima

Mbona Obama hakukamatwa kama ni kutia hasara kwa wafanyabiashara?
 
Mwisho wa siku ni kuaibika mahakamani au kutopeleka kesi popote!mtu mjinga uwa ni mtu muoga maisha yake yote!

maandamano ya kwanza ya machinga wa makoroboi na wahindi wenje alitajwa na mkuu wa polisi mwz.
kashfa ya kumzomea waziri mkuu watu wa intelijensia wanajua mpango mzima.
kuondolewa meya wa mwanza na kufukuzwa akina matata katika chama cha cdm ni uchochezi uliopita chini kwa chini.mpaka imefika hatua ya kutumiwa ujumbe wa vitisho dhidi yake.
ukitaka kuona siasa za kibwenga njoo mwz.
ushauri wangu.ccm mkoa wa mwanza msirudie mchezo mlio ufanya 2010.
 
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
Lusewa,na watu wenye mawazo sawa na yako,nataka kuwaambia kwamba HAKI HAIPATIKANI KWENYE SAHANI.Huwezi kuyazuia mafuriko kwa mkono.
Mandela alipokamatwa na makaburu,kuna watu walilisifu sana jeshi la makaburu kumkamata Mandela mleta fujo.Kwa hiyo wewe siyo wa kwanza.Nashindwa kusema mengi kwa vile sijui elimu yako.
 
Namhurumia sana Wenje watamuumiza,tatizo la wenje ni mtukutu sana,kwanza napinga suala la kwamba yeye ni mkenye kw sababu nimesoma naye kidato cha pili mpaka cha sita na nilikuwa kiranja wake wa bweni n baadae tukakutana SAUT akiw anachukuwa Education mimi nachukua uchumi,likuwa mkorofi sana na vituko vingi ambavyo naona ameendelea kuwa navyo,kwenye suala la ukorofi wala mtu asipinge huyu jamaa ni mkorofi sana,na ni mwanzilishi sana wa vurugu hata wakati tuko shuke aliwahi kusababisha mgomo.

hiyo ni njia halali ya kuda maslahi popote pale..in fact tunataka iwepo kwenye katiba na sio kwenye sheria za kazi tu...so Wenje was well ahead of you
 
Ha! mbona unalitaja bure jina la Mungu wako? Mungu gani anaruhusu maandamano, mauaji, uzinzi na kupora wake za watu?

Ndo hivyo haya muwafanyiayo wanyonge malipo yake hapa hapa duniani
 
Ha! mbona unalitaja bure jina la Mungu wako? Mungu gani anaruhusu maandamano, mauaji, uzinzi na kupora wake za watu?
Hivi kumbe mungu wa magamba anaruhusu kupiga watu na kuua! hivi kweli mungu wa magamba ndiye aliyeruhusu vijana kufanywa punda wa dawa za kulevya!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom