Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
Manenoooo mengi.....dawa yenu wakil wasomi wa Chadema kupangua vikesi vyenu magamba vya kipuuzi.

Mnatia aibu kila siku mahakamani mnashindwa,tumewachoka.
 
WENJE YUPO MTAANI, hakuna kesi hapo, ni uzuzuzu wa maccm tu.
 
Mleta mada katakuwa ni vile vitoto vya masaki vya ndani kama wale carpet dog.
Kuwekwa ndani kameshangilia kanaona kitu cha ajabu, toka huko ndani uje huku tukufundishe maisha.
Haya ni mapambano dogo kaa pembeni haya huyawezi wala hutakaa uyaweze milele.
 
kuna tofauti gani kati ya kukamatwa na kuitwa kutoa maelezo? kwani ukikamatwa mwisho wa siku si unaambiwa utoe maelezo?

duh, yan huna hata aibu kueleza upinda mkubwa kiasi hik?
Lazima utakuwa FORM IV kawambwa's product.
Shame on u.
 
Naichukia chadema kama shetani tuu maaana wasipo mwaga damu hawawezi kutulia kabida
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

kina mwigulu wanaua watu nani anajali? Uonevu huu haukubaliki
 
Acha kutisha watu wewe. kama imekuuma sana bora ukae kimya tu

bila shaka wewe ni miongoni mwa wale watu wa buku 7 fc kutoka lumumba arena.
vipi ni nepi au nchembe aliyekupakata kwa nafasi hii.
maana nasikia mnapakatwa kwanza kisha mnapewa ajira na akina bwana mkubwa.
jitambue mburula wewe, acha akili kutumwa hiyo inakudharilisha .
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Futa povu kwanza ndiyo ucomment utatuchafua wenzio
 
Chadema jana Mwanza wametia aibu sana.
 
Apo kwenye red inakuaje siwalipewa kibali halali na policcm?


wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

"Uharamu" na "uhalali" wa hayo maandamano uko wapi? Kati ya Katiba na Polisi, nani anayeongoza nchi?
 
chadema jana mwanza wametia aibu sana.


wewe siku zako za kuwa ccm zinahesabika kwani hata shetani akizeeka huwa malaika...time will tel ila unaboa sana nikiona avator yako na coment zako najutia kizazi chako
 
Join Date : 19th August 2013

Posts : 24
Rep Power : 305
Likes Received 1

Likes Given 0



Sina muda wa kujadili post yako kwani wewe hapo ulipo hata uenyeji huna, ndo unatia mguu tu ndani ya nyumba tayari ushaanza kuharishia sebule?, watu wa CHAMA CHA MASHETANI sijui haziwatoshi?

Ni kakifaranga hako, ndo wale wale wa kuna id nyingi .
 
Wenje na waliberali wenzake waenda jela kesho utasikia Lema nae atatafuta sababu yeyote ili weekend aimalizie jela.Chadema suala la jinsia moja si mliweke tu kwenye rasimu yenu ya katiba kuliko kusumbua watu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom