mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,468
- 6,016
Mbona unawaita police jina linaloheshimika duniani? Haya ni majambazi ya ulinzi wa chama cha majambazi! tu.Police sasa mwatumika too much..
Mbona unawaita police jina linaloheshimika duniani? Haya ni majambazi ya ulinzi wa chama cha majambazi! tu.Police sasa mwatumika too much..
mpuuzi kweli ww, mungu gani anayesikiliza wauwaji
mpuuzi kweli ww, mungu gani anayesikiliza wauwaji
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
maswali ya kipumbafu utajibiwa na wapuuzi wenzio ndo maana watu walikupotezea
Mandela hakuleta fujo za kihuni kama wanazoleta CHADEMA. alitumia vizuri majukwaa na wala hakuhamasisha fujo. mandela hakutembea na sumu mfukoni na wala hakujenga uadui na wale waliokuwa wanamsaidia. tofauti na ilivyo ndani ya chadema
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
Una uhakika!? Mandela humuelewi wala South Africa huwaelewi: "They are the most violent men on earth" research 2003. Kuyashinda makaburu na sera za kibaguzi haikuwa rahisi.Mandela hakuleta fujo za kihuni kama wanazoleta CHADEMA. alitumia vizuri majukwaa na wala hakuhamasisha fujo. mandela hakutembea na sumu mfukoni na wala hakujenga uadui na wale waliokuwa wanamsaidia. tofauti na ilivyo ndani ya chadema
wenje ni mbunge mhuni sijapata ona
ndo maana mr sugu aliwaambie nyie ni wapumbavu.
hahahaaaaaa, yaani hiki chama kimelaaniwa kweli. yaani wasomi wanatumika tu kwa manufaa ya vilaza!
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
inakusaidia nini
Bila shaka wewe ni miongoni mwa wanaotumika kama mipira ya kiume ndani ya chadema
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini Mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana Ezekia Wenje (CHADEMA) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini Mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Una uhakika!? Mandela humuelewi wala South Africa huwaelewi: "They are the most violent men on earth" research 2003. Kuyashinda makaburu na sera za kibaguzi haikuwa rahisi.