Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Mbunge Wenje akamatwa na polisi

Status
Not open for further replies.
Hivi mtu ikidhibitika kasema/kuandika uongo, sianafungiwa au?

Kwani huyu mama, usema uongo sanaa na afungiwi, ref issue ya tabata mkutano n.k

Mod fanyeni kazi vizuri tafadhari, piga BAN huyu anaalibu hadhi ya Jf.
Nani huyo sasa mbona hujamtaja??
 
Yani unacoment utumbo ilimladi upate like kutoka kwa waandika utumbo wenzako eti kwasababu umejiunga jana na javi hili kweli cccm mumeishiwa kila kitu yani wapya ndio kama wakale kabisa unafurahia mpigania hhaki akikamatwa na policcm? pole sana na karibu janvini lakini usiandike utumbo kama huu tena.

Bila shaka wewe ni miongoni mwa wanaotumika kama mipira ya kiume ndani ya chadema
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

Pumba @work
 
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
Kama mktaka hivyo futeni haki ya kukusanyika iliyopo kwenye katiba. Ujue mashabiki wa CCM wengi ni malimbukeni tu. Mnashabikia hata msiyoyajua. Kitendo cha serikali kuzuia maandamano ambayo hayana fujo ni kukiuka katiba. Na Kikwete aliapa kuilinda katiba. Jaribuni kutumia japo tone la akili hata kama ni za bandia kuliko kukurupuka na kucomment tu ilimradi mmeandika hapa.
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Nilidhani ni ishuuu.. Kumbe kuingia sebuleni kwetu. Siku hizi polisi ni sebuleni kwetu tunapiga stori kama kawaida tunarudi mtaani kuendelea na mapambano, sijui mtatumia nini tena kututisha.. maana hata mkitupiga risasi za moto kwetu sisi ni sadaka tosha kwa ukombozi wa taifa letu.
 
Mwisho wa siku ni kuaibika mahakamani au kutopeleka kesi popote!mtu mjinga uwa ni mtu muoga maisha yake yote!
 
Taarifa za jana zilitueleza kwamba maandamano yalikuwa halali na yalikuwa yapokelewe na mkuu wa mkoa, alipokosekana ndio wakaamua kumfuata ofisini kwake, wewe uliyeleta bandiko hebu kanusha taarifa za jana kwenye vyombo vya habari karbu vyote ikiwamo jamiiforums. Harafu ilikupasa kueleza tukio la kukamatwa mh Wenje na sio kuanza propaganda hapa...maandamano ni haki kisheria, je wewe unalijua hili au umekalia uji****nga wa bendera ya kijani iliyo na jembe na nyundo

Sioni wala sishangai kusambaratishwa kwa maandamano ya jana licha ya kuwa halali, maana chama tawala na polisi hufanya hivo kuiaminisha jamii kuwa chadema wanaleta vurugu nchini....be wise to see this foo...lishness na wewe mleta mada haunazo

tatizo sio uhalali wa maandamano bali ni namna cdm walipo amua kubadili dhamira ilio wapeleka kwa kuvunja sheria.
iweje watu waelekee kwa mkuu wa mkoa? kufanya nini? kwa kibali gani?
iweje watu watake kuchoma jengo la magnum,kwa taratibu zipi za kisheria au za kidemoc
 
Tunahitaji source kwa mnyika au makene vinginevyo suala bado ni uzushi
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"


Unga unekulevya
 
Kama mktaka hivyo futeni haki ya kukusanyika iliyopo kwenye katiba. Ujue mashabiki wa CCM wengi ni malimbukeni tu. Mnashabikia hata msiyoyajua. Kitendo cha serikali kuzuia maandamano ambayo hayana fujo ni kukiuka katiba. Na Kikwete aliapa kuilinda katiba. Jaribuni kutumia japo tone la akili hata kama ni za bandia kuliko kukurupuka na kucomment tu ilimradi mmeandika hapa.

bora kuzuia maandamano kuepusha shari kuliko kuruhusu waandamane kama Misri ya mamia ya watu yanateketea
 
Yani tz bana inachosha,,hapo wataangaika na wenje badala yakujibu maswali ya wananchi wa mwanza kuhusu madiwani wao na uchaguzi wa meya ....
 
Taarifa za jana zilitueleza kwamba maandamano yalikuwa halali na yalikuwa yapokelewe na mkuu wa mkoa, alipokosekana ndio wakaamua kumfuata ofisini kwake, wewe uliyeleta bandiko hebu kanusha taarifa za jana kwenye vyombo vya habari karbu vyote ikiwamo jamiiforums. Harafu ilikupasa kueleza tukio la kukamatwa mh Wenje na sio kuanza propaganda hapa...maandamano ni haki kisheria, je wewe unalijua hili au umekalia uji****nga wa bendera ya kijani iliyo na jembe na nyundo

Sioni wala sishangai kusambaratishwa kwa maandamano ya jana licha ya kuwa halali, maana chama tawala na polisi hufanya hivo kuiaminisha jamii kuwa chadema wanaleta vurugu nchini....be wise to see this foo...lishness na wewe mleta mada haunazo

uko kijiji gani unaishi na taarifa za jana
 
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.

MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"

Uonevu wa polisi unasaidia CHADEMA kusikilizwa kilio chao na Mungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom