utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
- Thread starter
- #21
Mkuu, akili ndogo zimejaa chadema
mfano mbowe mwenye form 4 failure lakini anaongoza maprofesa akina baregu, safari, madokta akina kitila ma masters akina zitto nk
Mkuu, akili ndogo zimejaa chadema
kawaida 2 mbona makamanda kuwekwa ndani suburia nusu saa kama hatakua mtaani na ukombozi unaendelea
Mleta mada shukrani kwa taarifa nzuri
Kosa lako ni kuzungumzia kana kwamba
Chadema na Wenje ni tatizo kitu ambacho
huenda umeweka mahaba kwa CCM.
Siku nyingine uwe makini na hilo mdau.
hahahaaaaaa, yaani hiki chama kimelaaniwa kweli. yaani wasomi wanatumika tu kwa manufaa ya vilaza!mfano mbowe mwenye form 4 failure lakini anaongoza maprofesa akina baregu, safari, madokta akina kitila ma masters akina zitto nk
wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
kawaida 2 mbona makamanda kuwekwa ndani suburia nusu saa kama hatakua mtaani na ukombozi unaendelea
Taarifa za jana zilitueleza kwamba maandamano yalikuwa halali na yalikuwa yapokelewe na mkuu wa mkoa, alipokosekana ndio wakaamua kumfuata ofisini kwake, wewe uliyeleta bandiko hebu kanusha taarifa za jana kwenye vyombo vya habari karbu vyote ikiwamo jamiiforums. Harafu ilikupasa kueleza tukio la kukamatwa mh Wenje na sio kuanza propaganda hapa...maandamano ni haki kisheria, je wewe unalijua hili au umekalia uji****nga wa bendera ya kijani iliyo na jembe na nyundo
Sioni wala sishangai kusambaratishwa kwa maandamano ya jana licha ya kuwa halali, maana
unadhani ndio mtafanikiwa kuwatisha watu? Taifa gani lisiloheshimu sheria zake lenyewe, nadhani ni taifa la watu waliochanganyikiwa, ndio maana utasikia kilimo kwanza, gesi kwanza, sijui big results yote yanaonesha hatujui hata tunachokifanya.wana jf.
habari zilizonifikia hivi punde kutoka jijjini mwanza ni kwamba mbunge wa nyamagana ezekia wenje ( chadema ) amekamatwa na polisi na kutiwa korokoroni kwa tuhuma za kuongoza maandamano haramu yaliyozua tafrani jijini mwanza hiyo jana.
MY TAKE; CHADEMA ACHENI KUSHINIKIZA MAANDAMANO YASIYO NA TIJA AMBAYO YANASABABISHA UHARIBIFU WA MALI ZA WANANCHI.
NALIPONGEZA JESHI LA POLISI KWA KU DEAL NA VINARA WA UVUNJIFU WA AMANI BADALA YA WALE WANAOSHAWISHIWA.
"MAPEMBE YOTE YATAKATWA"
Wenje hajakamatwa ila ameitwa kutoa maelezo, mbumbumbu wa sheria kuhusu incitement to violence haswa hawa magamba wanadhani Kamanda Wenje ana kosa, kimsingi watagaragazwa mahakamani.Mwendo ni ule ule, haki haiombwi ila hupiganiwa na hatujakata tamaa!
Kuna Thread niliuliza ni nini maana ya Rep Power lakini imepotezewa.
unatumia kiungo gani kufikiri?? kwann unakuwa mbishimbishi kwa vitu vinavyoeleweka??Wenje hajakamatwa ila ameitwa kutoa maelezo, mbumbumbu wa sheria kuhusu incitement to violence haswa hawa magamba wanadhani Kamanda Wenje ana kosa, kimsingi watagaragazwa mahakamani.Mwendo ni ule ule, haki haiombwi ila hupiganiwa na hatujakata tamaa!
unafikiri huyo nusu saa atakuwa amefanywa nini huko ndani
Bravo polisi, Bravo jeshi la polisi kwa hatua waliyochukua. ifike wakati sasa chadema watambue nguvu ya dola na watii mamlaka zilizopo
Mkuu, taarifa za kuhalalisha maandamano hayo zilitolewa humu jf tu na kitengo cha propaganda cha chadema kupitia ID zao feki. hakuna chombo kingine kilirusha taarifa hiyo. hapo ndo utakapoamini kuwa chadema walitengeneza mazingira ili ionekane kuwa wameonewa
mbona ww unashabikia ujinga wa wenje kuhamasisha maandamano ya kijinga??Ni heri ukawa fukara wa pesa kuliko kuwa fukara wa fikra. Nakuonea huruma sana ndugu yangu maana unakuwa shabiki kwa mambo ya kijinga kabisa#