beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Kilolo, Justin Nyamoga akiwa Bungeni Dodoma leo amehoji ni lini Serikali itarudia mpango wake wa awali wa kushusha vifurushi ili Watanzania wavipate kwa bei nafuu.
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew, amesema changamoto ya Biashara ya Mawasiliano ipo katika kuangalia usawa kati ya watumiaji, Serikali na watoa huduma.
Ameeleza "Ni lazima tuangalie 'Production Cost' aweze kufanya Biashara katika kiwango ambacho anaweza kupata faida ili Serikali pia iendelee kupata Kodi, lakini Kodi hizo ziweze kurudi kujenga barabara na Zahanati"
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew, amesema changamoto ya Biashara ya Mawasiliano ipo katika kuangalia usawa kati ya watumiaji, Serikali na watoa huduma.
Ameeleza "Ni lazima tuangalie 'Production Cost' aweze kufanya Biashara katika kiwango ambacho anaweza kupata faida ili Serikali pia iendelee kupata Kodi, lakini Kodi hizo ziweze kurudi kujenga barabara na Zahanati"