superfisadi
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 553
- 52
mbona mnakuwa wakali wkt jambo lenyewe la heri c mwenye taarifa ajibu km hamjui c mtulie , manake hamna cha ajabu kuoana kwa mwanamke na mwanaume
mbona mnakuwa wakali wkt jambo lenyewe la heri c mwenye taarifa ajibu km hamjui c mtulie , manake hamna cha ajabu kuoana kwa mwanamke na mwanaume
Habari za j2 wana jf, kama mjuavyo vuguvugu la siasa za uchaguzi bado linaendelea, ktk pitapita nimekutana na mjadala kuwa mnyika na halima mdee ni wachumba. Naomba mwenye habari atujuze. Nawasilisha.
Nice couple
Habari za j2 wana jf, kama mjuavyo vuguvugu la siasa za uchaguzi bado linaendelea, ktk pitapita nimekutana na mjadala kuwa mnyika na halima mdee ni wachumba. Naomba mwenye habari atujuze. Nawasilisha.
Nice couple
Habari za j2 wana jf, kama mjuavyo vuguvugu la siasa za uchaguzi bado linaendelea, ktk pitapita nimekutana na mjadala kuwa mnyika na halima mdee ni wachumba. Naomba mwenye habari atujuze. Nawasilisha.