Mbunge wa jimbo la Ubungo na jimbo la Kawe ni wachumba?

Gama

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
13,267
4,715
Habari za j2 wana jf, kama mjuavyo vuguvugu la siasa za uchaguzi bado linaendelea, ktk pitapita nimekutana na mjadala kuwa mnyika na halima mdee ni wachumba. Naomba mwenye habari atujuze. Nawasilisha.
 
Kwani wakiwa wachumba LIPI la AJABU? Huu sasa udaku! Umekuwa Shigongo? Hebu acha kufuatilia mambo ya watu, fuata ya kwako.
 
hahaa kwani haikutosha kusema tu Mnyika na Halima Mdee ni wachumba mapaka uanze Jimbo la ubungo na KAWE..khaaaa
 
Habari za j2 wana jf, kama mjuavyo vuguvugu la siasa za uchaguzi bado linaendelea, ktk pitapita nimekutana na mjadala kuwa mnyika na halima mdee ni wachumba. Naomba mwenye habari atujuze. Nawasilisha.


Sasa huu si udaku, nenda kaposti kwenye jukwaa husika bana siyo hapa! by the way, wakiwa wachumba au la sis inatuongezea au kutupunguzia nini?
 
Katiba ya jamhuri ya muungano inaruhusu, so hakuna shida kwa wao kuwa wachumba
 
Leta mambo serious, achana na udaku!! Ila kama wapenda udaku, basi post katika eneo husika. Mnyika na Mdee hata kama ni wachumba, watakuwa si wabunge wa kwanza kuwa wachumba, ni nini cha kustajabisha!!!!
 
Leta mambo serious, achana na udaku!! Ila kama wapenda udaku, basi post katika eneo husika. Mnyika na Mdee hata kama ni wachumba, watakuwa si wabunge wa kwanza kuwa wachumba, ni nini cha kustajabisha!!!!

nilitaka kujua tu
 
nilitaka kujua tu

JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateSat Jan 2010Posts430Thanks16Thanked 67 Times in 50 Posts Rep Power21




Nadhani Mods wamekosea kukupa hadhi ya kuwa "JF Senior Expert Member"! HATUPENDI UDAKU! Sisi ni watu MAKINI sana Bro!
 
Tena wakioana itakuwa poa sana, mana wanaendana karibu kila idara, kwani wote ni waheshimiwa,wote wapo mjengoni,majimbo yao yote yapo hapahapa jijini,wote ni mabachela. Kiujumla wanaendana ktk kila nyanja, hvyo naunga hoja.
 
Hakuna cha ajabu hapo mungu awabariki kwani hao si wa kwanza tumewaona Msekwa na Anna Abdalla itakuwa hao.
 
Mbona ccm wamejaa wa namna hiyo na hujashangaa? Malecela alikuwa mjengoni na mkewe; Shellukindo na Abdulazizi nao pia walikuwa na wake zao kama wabunge, sasa cha kushangaza kama hayo maneno yako ni kweli ni kitu gani?
 
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateSat Jan 2010Posts430Thanks16Thanked 67 Times in 50 Posts Rep Power21




Nadhani Mods wamekosea kukupa hadhi ya kuwa "JF Senior Expert Member"! HATUPENDI UDAKU! Sisi ni watu MAKINI sana Bro!

ndo maana we siyo mod. Nenda kasome kwa makini jf rules+how to use jf effectively. Kisha uje uchangie.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom