TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

TANZIA Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

Acha ujinga wangapi wanakufa mahospitalini kwa kukosa dawa kutokana na ujinga wenu wa maccm wa kubebana, au hao ni mbwa?? Mi naombea maccm mfe wote ili nchi iendelee
Mnakera nyie wajinga! Kwani wewe hautakufa? wote mnaoshabikia vifo vya wenzenu ni wajinga sana! na mmekosa utu! huu haukuwa utamaduni wetu watanzania!
 
Riz1 amemloga jamaa wa watu ili achukue jimbo.....................

Rest In Peace Said Bwanamdogo........ Pole famili ya marehemu

Kifo siasa kila kitu siasa duh hiyo ndio Tanzania!
 
Amefariki kipindi ambacho Operation pamoja daima inaingia tutegemee vifo kama hivi kwa magamba kuwa vingi wakati wa hii operation itakavyoanza
Nadhani chama chenu kinaendeshwa na nguvu za shetani, binadamu wa kawaida hawezi andika upuuzi kama huu
 
Bungeni hatujawahi kumsikia na hatumjui lakini kutokana na Ugonjwa na Kifo chake tumemsikia ili liwe fundisho kwa wabunge waliosalia wawajibike Bungeni na kwa Taifa na katika majimbo yao ili Wafahamike na sio kufahamika pale MAUTI yanapowakuta. R.I.P Mbunge wao.
 
Mnapofurahia vifo vya wenzenu ili mpate madaraka mnatufundisha nini?

Mkuu, unapaswa kujua kuwa hiki kifo ni mapenzi ya Mungu. Hivyo wote unaowaona wanafurahii ujue wanakubaliana na mapenzi ya Mungu na wanaochukia na kukasirika ujue wanapingana na mapenzi ya Mungu.
 
Acha ujinga wangapi wanakufa mahospitalini kwa kukosa dawa kutokana na ujinga wenu wa maccm wa kubebana, au hao ni mbwa?? Mi naombea maccm mfe wote ili nchi iendelee

Utakufa wewe ili uiache CCM ikiendelea kuwatumikia wananchi na kuleta maendeleo Tanzania.
 
NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa


hata picha tusiangalie?

69042_691815584204622_582892523_n.jpg
 
Poleni wafiwa!!! Ila hii terminology au msamiati wa kuugua kwa muda mrefu inamaanisha kitu gani??? Yaani huko kuugua kwa muda mrefu si ni lazima kulikuwa na ugonjwa ambao ndo source ya kifo. Si waseme kama mtu kaugua muda mrefu presha, kisukari, cancer, malaria, n.k? Watanzania bila kuwa wazi katika mambo mengine hakika hatutafika mbali sana!!! I real loved Mandela na mtoto wa yule mwanamuziki F. Kunte aliyepokea tuzo wa music (Cora Award, sijui kama spelling ni sawa). He openly dedicated his award to HIV/AIDS victims and said "My father died of it"

Hapo umenena kweli mkuu!! Hata mimi nashangaa hakuna Mbongo hata mmoja aliyewahi kutangazwa kuwa kafa kwa UKIMWI!!????
 
Nasikia alikuwa haivi na Ridhiwani! au ndo jamaa amemkata kidizaini flani vile, maana naambiwa dogo alikuwa analitaka sana lile jimbo. maana huyu challii naye haaminiki, ila naye atakufa tu!
 
Back
Top Bottom