Poleni wafiwa!!! Ila hii terminology au msamiati wa kuugua kwa muda mrefu inamaanisha kitu gani??? Yaani huko kuugua kwa muda mrefu si ni lazima kulikuwa na ugonjwa ambao ndo source ya kifo. Si waseme kama mtu kaugua muda mrefu presha, kisukari, cancer, malaria, n.k? Watanzania bila kuwa wazi katika mambo mengine hakika hatutafika mbali sana!!! I real loved Mandela na mtoto wa yule mwanamuziki F. Kunte aliyepokea tuzo wa music (Cora Award, sijui kama spelling ni sawa). He openly dedicated his award to HIV/AIDS victims and said "My father died of it"