Hatuyapendi maccm ndo manake
Mnapofurahia vifo vya wenzenu ili mpate madaraka mnatufundisha nini?
Mnapofurahia vifo vya wenzenu ili mpate madaraka mnatufundisha nini?
Hao wanaongozwa na nguvu za shetani, tofauti yao na alshabaab ni dini tu...
Ugonjwa ni:Upungufu wa Chakula Bora mwilini.
Kumbe chadema haikuwepo ndo mana alipita bila kupingwa
Mwanga wa milele umwangazie e BWANA YESU mtanzania mwenzetu Said bwana mdogo waislamu waseme AMENI Wakristo Ameni
Nadhani chama chenu kinaendeshwa na nguvu za shetani, binadamu wa kawaida hawezi andika upuuzi kama huu
Mkuu huyo dogo ni noma kinoma, alishawai kumuondoa kaka yake wa mama wa kufikia kule Arusha kwa kumtegeshea tishu yenye sumu wakati wanapata bia katika bar fulani. Kisa aliona baba yao (kikwete) anampenda sana na inaonekaka mambo mengi atarisichwa huyo jamaa. Kwa wanaokumbuka vizuri baada ya mazishi baba yao alimchukia sana Riz na baada ya mzee kuukwaa Uraisi ilibidi Lowasa akamuombee Riz msamaha kwa mshua.
Misukule UTU wao umechukuliwa na itikadi za kisiasa.
Asante kwa taarifa lakini si ungetufafanulia kidogo ndugu? Sababu ya kifo, wapi, saa ngapi, nk.
Nenda kakusanye tena rambirambi kama kawaida yako!!!!! Vipi za mgimwa ulipata shs ngapi?Nadhani chama chenu kinaendeshwa na nguvu za shetani, binadamu wa kawaida hawezi andika upuuzi kama huu
Poleni sana wafiwa.
Ila uchaguzi lini?
Maana jimbo liko wazi.
By NJALI, Hata mimi hiyo kauli chafu haija nifurahisha. Kwani CCM walijua bwana mdogo mgonjwa? Hata kama walijua kwani mgonjwa haruhusiwi kugombea? Tuwe tuna reason kabla ya kupost thread. Kuna watu wanakufa ghafla je hawafai napo utasema kwamba mbona wanakufa? Jaribu kuwa mstaarabu kaka.
Mnapofurahia vifo vya wenzenu ili mpate madaraka mnatufundisha nini?