Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 3,003
- 7,317
Ndo maana watu wanaogopa kuchukua fomu ya Chama
SIjajua ndg. Ila all in all hatunayeDuh Imani Madega alikufa kwa ugonjwa ganI?
Usifanye utani na ugali wa watu. Yule jamaa aliyeshindwa kuapa enzi za JPM (mbunge wa Kilwa) alinukuliwa akisema kwamba kwenye kile kiapo alikuwa haoni maneno ya kiapo, bali anaona matusi matupu, akawa anashindwa kusoma hayo matusi.Ndo maana watu wanaogopa kuchukua fomu ya Chama
Wala hatutakuuliza chochote Mkuu, Ondoa shakaView attachment 133696
Source: EA Radio
Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu
NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa