mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 479
bwana katoa na katwaa jina lako lihimidiwe
Amefariki kipindi ambacho Operation pamoja daima inaingia tutegemee vifo kama hivi kwa magamba kuwa vingi wakati wa hii operation itakavyoanza
Kweli kabisa mkuu nami niliwaza hiyo kiturip MBUNGE BWANAMDOGO, jimbo sasa la rizwan
ni kweli ni ajabu, lakini afya yake ilibadirika ghafla wiki 2 zilizopita wakati akikaribia kwenda India sasa ikabidi wamuweke Ocean road kisha wiki iliyopita wakamuhamishia MOI...imekuaje kafia bongo( Taasisi ya Mifupa MOI )!!?.haya ni maajabu kuwahi kuyashuhudia kwa kiongozi aliyewakilisha chama kubwa na tajiri-CCM.RIP BWANA MDOGO.
Wekeni pia picha yake,tuendelee kumuombea marehemu apewe pepo na yote anayostahili.
R.I.P ndugu!
RIP mheshimiwa
Swali la kizushi.......ivi akishakua na ako ka cheo ca Mh si kamekufa nacho ?
alikuwa anaugua tumbo muda mrefu alishafiwa tiba India, akijiandaa kurudi tena afya ndio ikabadilika...View attachment 133696
Source: EA Radio
Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu
NB: Tafadhali msiniulize ugonjwa maana haujasemwa