ingekua kwenye Katiba mpya angekula kilaini maana ndivyo inavyotakaApepe Mh. Bwanamdogo.
Haya Bw.Madega jimbo hiloooo. CHADEMA isihangaike kwenda kule Watu wa kule jimbo la Chalinze kuanzia Msata,Mbwewe,Lugoba,Mboga,Msoga, Chalinze,Vigwaza,Mdaula,Ubenazomozi na Bwawani wametimiziwa ahadi ya Maji kutoka Wami! kwa hilo tu CCM itapeta tu.
kweli wewe mgeni, kuna jinsi ya ku reply ujumbe wa mtu maana hapa husomeki umekusudia ujumbe upiFikiria mara mbili mbili kabla ya kuandika. Hata kama humpendi mtu sio kwa kiasi hicho.ndo nyie huwa mnawaua hata wazazi wenu kwa tamaa.
mkuu, naomba uelewe huyu hakuwekwa na ccm madarakani, ni wananchi walimchagua, na pia wakati anawekwa madarakani hakuwa mgonjwa, na hata kama alikuwa mgonjwa wananchi hawakuona mbadala. Mkuu chadema walisimamisha asiye mgonjwa lakini wananchi ndio chaguo lao hebu tuacheni hizi siasa za kijinga.
Unafananisha CHALINZE na HAI, huku kwa wanaume, CHADEMA hawathubutu kutia pua!
Mwanga wa milele umwangazie e BWANA YESU mtanzania mwenzetu Said bwana mdogo waislamu waseme AMENI Wakristo Ameni
Kumbuka jimbo la Mgimwa (Kalenga) liko wazi
Wekeni pia picha yake,tuendelee kumuombea marehemu apewe pepo na yote anayostahili.
Mnapofurahia vifo vya wenzenu ili mpate madaraka mnatufundisha nini?Watangaze uchaguzi mapema ili uunganishwe na Uchaguzi wa Madiwani.....
Mungu ibariki CDM..
imekuaje kafia bongo( Taasisi ya Mifupa MOI )!!?.haya ni maajabu kuwahi kuyashuhudia kwa kiongozi aliyewakilisha chama kubwa na tajiri-CCM.RIP BWANA MDOGO.