Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,963
itakusaidia nini?
Itasaidia jamii ikiwemo mimi na wewe kwa kuwa hata wale walikuwa wanajihusisha na marehemu basi watapata wasaa wa kuangalia afya zao kwa karibu!!!! Yaani ilisaidia sana Uganda kupunguza kasi wakati ule. Imagine ilikuwa inaongoza kwa Afrika Mashariki na baadaye walipoamua kuwa wazi hali ikawa shwari kidogo. Sisi Tz rate ilikuwa chini ila ikapanda kwa kasi kwa sababu tunafanya usiri kwa jambo hatari.