Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
aisee,cdm hakifai.huyu analipa kodi kwa obama,halafu anakula kodi zetu hapa tanzania.
yule wa suti gwala umehesabu ni muda gani anakuwaga kwenye matembezi na lini akuwa pale ferry?
aisee,cdm hakifai.huyu analipa kodi kwa obama,halafu anakula kodi zetu hapa tanzania.
wacha umbea wako wewe, huna ulikokutana naye unatafuta sifa tu, nyie ni walewale mkipanda ndege Mwanza to Dar mnakuja kutangaza jf. Endelea kula zako miguu ya kuku hapo Tandale kwa shangazi yake mwanaasha
Kama hii habari inaukweli basi CDM walipaswa/wanapaswa kumuangalia upya huyo mbunge wao!Kuwa mbunge maana yake ni muwakilishi wa matatizo ya kundi flani ya jamii husika pahala husika,sasa kama huyu mmama anaishi marekani hayo matatizo ya hiyo jamii anayajuaje?Jamani kama kweli mnaitakia mema CDM kubalini mapingufu myafanyie kazi kuliko kujidai miungu watu hamkosei!!Kumfananisha na JK si sawa maana JK safari zake huwa anakwenda kuiwakilisha Tz na nafikiri anachokosea JK ni safari zote kwenda yeye wakati kuna wasaidizi kama mawaziri lakini safari zote anazokwenda huwa zina faida fulani kwa nchi!!Huyu Mama hafai kuendelea kuwa mbunge unless kama kuna yaliyojificha tusiyoyajua ndani ya CDM!!Kutetea huu uozo ni siasa za kufuata mkumbo ambao watz wengi ndiyo tunazozifuata,siasa za bongo ni usanii tu kwa maoni yangu ndiyo maana msimamo wangu wakuendelea kuwa mtazamaji sidhani kama nitauacha hv karibuni!!
je anatumia hela ya umma kwenda huko? Leticia na kikwete nani anatumia raslimali za nchi vibaya. bora Leticia tunajua ana familia huko anayo enda kuiona je kikwete?.
Acha kufuatilia maisha mtu binafsi.
Nataka tuzungumzie watu wanaotumia vibaya kodi ya walala hoi sio wale wanaotumia kipato chao halali kwenda usa.
yule wa suti gwala umehesabu ni muda gani anakuwaga kwenye matembezi na lini akuwa pale ferry?
Kwani Mwenyekiti wa CCM anakaa wapi muda mwingi wa mwaka?(Kwa sasa yuko London)
Two wrongs,do not make right.Huwezi justify huu ujinga kwa kuleta ujinga wa Kikwete
Ukipiga hesabu katika siku zake za utawala katika kila siku 3 ni 2:1 yaani siku 2 TZ na 1 nje. Huyo ndio mkulu mwenyeweKwani Mwenyekiti wa CCM anakaa wapi muda mwingi wa mwaka?(Kwa sasa yuko London)
Hujaisoma thread,soma tena.Huyu mbunge anaishi marekani,huja Tanzania kwenye vikao vya bunge tu.hivi watoto wa mbunge mwanamke wakisoma marekani ni kosa? Au kama mwanamke alikuwa anaishi marekani na mumewe anakatazwa kuja kushika nafasi ya kisiasa tz?
This is bullshit!!
Yes, bullshit!
hivi watoto wa mbunge mwanamke wakisoma marekani ni kosa? Au kama mwanamke alikuwa anaishi marekani na mumewe anakatazwa kuja kushika nafasi ya kisiasa tz?
This is bullshit!!
Yes, bullshit!
sina imani na hili.Hujaisoma thread,soma tena.Huyu mbunge anaishi marekani,huja Tanzania kwenye vikao vya bunge tu.
Nadhani wanaomfahamu vyema ni watu wa Kwimba waliompa kura za ushindi kisha NEC ikawaibia na kumpa yule Mhindi mfadhili wa CCM mwanza na Tresurer wa mkoa Mansoor kama fadhila. Kama ni wa Marekani wasingempa kura zile tena bila kugawiwa vitenge,fulana na ubwabwa. Hakuna hoja hapaNi jambo la hatari kuwa na mbunge anaeishi nje ya Tanzania.
Wana JF.
Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Leticia M Nyerere, Makazi yake yapo Washington DC Marekani yeye pamoja na Familia yake.
Watoto wake wanasoma Marekani Maryland, uwa anakuja Tanzania wakati wa vikao vya bunge tu kule Dodoma, baada ya vikao bunge anarudi zake Marekani, Chadema sijui walitumia vigezo gani kumchagua huyu mbunge mkazi wa Mareka na wakaacha wakazi Tanzania.
Mkuu huna mamlaka ya kuwaamuru wana Jf kufunga midomo kwani mahali hapa ni mahali pa kufungua midomo. Hata mimi nilijua kuwa Mbunge huyu sasa karudi kabisa kuitumikia nchi yake kumbe sivyo. Dada huyu yuko Nje ya nchi hii toka miaka ya 70 mwishoni. Miaka ile ya 84 alirudishwa toka ktk moja ya balozi zetu na ndipo alipoolewa na kijana wa Mwl. Nyerere (yeye ni Ms Mageni). Lakini ndoa yao ilipochoka (ni kawaida) na duka lake kuungua siku Water front ilipoungua, basi akasepa. However; she has been poping here now and then. Tax kwa Obama, Mshahara toka Tz, VIGEZO???????? CHADEMA itujibuMleta mada naomba ufunge mdomo, maana unachafua hali ya hewa ya JF ni hilo tu mkuu,
mtu anaweza akakaa hapahapa tanzania na asifanye la maana so haijalishi, cha muhimu ni umefanya nini, na umetimiza wajibu wako kiasi gani na si unapoishi
mkuu adobehuna jipya zaidi ya wivu.mbona wabunge wengi tz hawatoki walikozaliwa na ni wabunge!!!
biggie says thank you for this useful post!!
Kenge mayai!!
Kesho Bakheresa anatoa ubwabwa usiache vaa suruali fupi na ndizi pamoja na pili pili tembea nazo! Baada ya salaa Ijumaa