Mbunge wa CHADEMA bi Susan Lyimo atuwakilisha vyema mkutano wa kimataifa......

Mtazamo wangu ni kwa kiongozi yeyote awe wa kuchaguliwa si wa CCM wala CHADEMA na hata wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wa kupewa si afikiani nalo kabisa na natumai katiba mpya itabadilisha hizi nyadhifa za upendeleo.

Zaidi ya hayo, ningependa kuona Tanzania hata wale viongozi wanaoteuliwa na Rais, kama makatibu wakuu, majaji na wakurugenzi wa sehemu nyeti wawe pia wanapitishwa bungeni kuhakikiwa na kupitishwa pale tu bunge litaridhia.

Nachokukubali Faiza ni kuwa post zako unatumia lugha nyepesi na zisizo na mauzi ya kupitiliza. Kwamba sikubaliani na mtazamo wako mara nyingi haijalishi, huwa napenda kukusoma.

Lakini hii post ya leo, umenifurahisha sana. Hongera kwa kuzungumza kitu nachokubaliana nacho!

Ila isije ikawa ni kwa sababu tu Suzan Lyimo ni wa kuteuliwa ndiyo ukaamua kusema haupendi vitu maalum! Iwe kotekote.
 
mwanasiasa machachari na mbunge wa viti maalumu wa chama cha demokrasia na maendeleo-chadema ametuwakilisha vyema kwenye mkutano wa kimataifa wa kuzia matumizi ya nyuklia kwa ustadi mkubwa na wakipekee sana,hii inaonyesha namna ambavyo cdm imejaza vichwa vya ukweli na stadi katika mikutano mikubwa hasa ya kimataifa...

View attachment 39373

eko mama naona umepiga kiasili umependeza sana..............

ni vizuri kujua mchango wake wa maneno au maandishi katika mkutano huo siyo tuanze kumsifia kwa mavazi ya kiasilia.

Kimtiacho mtu unajisi ni kile kimtokacho kama maneno maovu na vitendo viovu na si kimwingiacho kama misosi na mavazi.
 
unawaza kukopa tu eeh!! Yaani raisi wako amekulisha sumu mbaya mpaka unadhani kila kitu ni kukopa tu...endelea uone madhara yake,nenda kakope kwa waarabu uone kazi yake...

ataliwa zaini/voda huyo kama siyo tigo.
Kukopakopa ni sifa za kijinga
 
Mtazamo wangu ni kwa kiongozi yeyote awe wa kuchaguliwa si wa CCM wala CHADEMA na hata wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wa kupewa si afikiani nalo kabisa na natumai katiba mpya itabadilisha hizi nyadhifa za upendeleo.

Zaidi ya hayo, ningependa kuona Tanzania hata wale viongozi wanaoteuliwa na Rais, kama makatibu wakuu, majaji na wakurugenzi wa sehemu nyeti wawe pia wanapitishwa bungeni kuhakikiwa na kupitishwa pale tu bunge litaridhia.

Kumbe Bi. Mkubwa na wewe huwa unachukua mda kutafakari. Nilidhani wewe kila siku ni vilevile tu, leo umeaandika for acountability and development. Big up mamiiiiiieee
 
Hakuna ulazima kukubaliana kwa kila hoja.

Kinachonipa wasiwasi ni kwamba sijawahi kukusoma ukitoa positive comment dhidi ya chadema ama kiongozi wake bila kuinasibisha na element za ubaguzi wa kidini.

Ni ajabu unamkandia aliyehudhuria mkutano lakini husemi chochote kwa wale wasioonekana kwenye nafasi zao mkutanoni. Unamshangaa kavaa rubega ulitaka avae suti au kanga moko ndo uridhike?

Ndugu yangu,

You are dead wrong, kuna watu kama Mnyika, Zitto, Dr Slaa nawakubali sana na I am big supporter kwao. Ila mie sio mfuasi wa siasa za zidumu fikra za mwenyekiti ndugu. Sifa za kipuuzi sizifagilii . Umeniuliza kuhusu waliokuwa hawapo kwenye picture umejuaje kama hawapo ? Yaani wewe unafikiri mabaya tu katika CCM hawana mazuri ? Tatizo lako wewe ndio unasumbuliwa na udini na unazi wa chama. Kama sifa mbona hamumsifu Dr Makani aliyeshinda award UK ya utafiti makini. Watanzania wangapi wameshinda tuzo hiyo? Narudia misifa ya kipuuzi mie siifagili maana nasikitia kodi yangu inayompeleka huko na kurudi mikono mitupu.
 
Unawaza kukopa tu eeh!! yaani raisi wako amekulisha sumu mbaya mpaka unadhani kila kitu ni kukopa tu...endelea uone madhara yake,nenda kakope kwa waarabu uone kazi yake...

Wewe unawaza maandamano tu na misifa ya kipuuzi huku wenzio wanapiga hatua na kuendelea . Magwanda mna matatizo nyie naijutia kura yangu kwanini niliwapa.
 
Back
Top Bottom