Mh...
Habari leo wameandika kuwa Tundu lisa na Wangwe walienda kupanda ndege ya Barrick? why?...............(????)
Ni nani anasema ukweli wa nini kilichotokea?
Ngoja tusikilizie baaada ya habari mbili zinazo kinzana kutoka.
.....Muheshimia Kolimba
.....Tundu Lisa
.....Muheshimiwa wangwe
.....Mkuu wa polisi
.....Barrick
....mwenyekiti wa kijiji 'Abel Maginga'
....Wananchi wa nyakunguru.
Mwenyekiti alisimamishwa au alifukuzwa?
Mkutano ulimalizika salama au ulivunjika?
Habari leo wameandika kuwa Tundu lisa na Wangwe walienda kupanda ndege ya Barrick? why?...............(????)
Ni nani anasema ukweli wa nini kilichotokea?
Ngoja tusikilizie baaada ya habari mbili zinazo kinzana kutoka.
.....Muheshimia Kolimba
.....Tundu Lisa
.....Muheshimiwa wangwe
.....Mkuu wa polisi
.....Barrick
....mwenyekiti wa kijiji 'Abel Maginga'
....Wananchi wa nyakunguru.
Mwenyekiti alisimamishwa au alifukuzwa?
Mkutano ulimalizika salama au ulivunjika?